Dr.W.Slaa naomba utwambie nani atasahisha hiyo mitihani?maana hatutegemei wewe mwenyewe ndio msahishaji wa mtihani.
Nani atasimamia hiyo mitihani?
Umejiandaa vipi kukabiliana na watakao chora mazombi kwenye mitihani?
Umejiandaaje kukabiliana na watakao ingia kwenye mitihani wametumia vilevi na mihadarati kama gongo na bangi?
Mmejiandaa vipi kukabiliana na wizi wa hiyo mitihani?bila shaka unajua vijana wako hawashindwi kuiba?
Umejiandaa vipi kukabiliana na uvujaji wa hiyo mitihani maana pale makao makuu ndio maarufu kwa kuvujisha siri za chama.
Dr.W.Slaa ina maana hata wenye viti wa mikoa na wilaya wa chama watafanya mitihani?
Katika hili naomba uandae video camera ili kuweza kuwabaini watakao kuwa wanapiga chabo kwenye chumba cha mtihani na adhabu yao ni kuwaanika hadharani.
Kamanda
Rose Mayemba chukua fomu umuondoe sugu.
Kamanda
Yericko Nyerere chukua fomu upige paper.
Kuna wabunge watajitoa mapema kabisa
mh
Dr.W.Slaa na wabunge viti maalum hawatofanya mitihani?
Hahahahaha sipati picha dr slaa anatangaza matoke alaf anatuonesha karatasi jinsi watu walivyo chora mazombi.
Cc
Ritz,
CHAMVIGA,
mwekundu