Hiyo hakuna formula spesheli aisee! unaweza ukakifichaficha ukadoda nacho na anayegawa akaolewa na tarumbeta utamchezea.
hongera kwa kuhudhuria ibada mkuuKumekuwa na vilio kutoka kwa mabinti kuwa hawaolewi sasa babu yenu nimewasikiliza sana na kuwaonea huruma. ...dawa ya kupata ndoa Usionjeshee.
Acha unoko, tutawapa tu....
Asavali ngoja niangalizie hapa kwako, niwaweke kwenye ignore list njemba zote zilizoninyimaUkisikia wivu ndio huu. Mtu alinyimwa yeye, anaanza uchochezi na wenzake tukose. Mi ukininyima naku-unfollow Insta, Twitter, na #WCW utaisikia tu hewani. JF kwenyewe naku-ignore, na likes hupati.
Hooray mpendwa. Sasa tuanzishe group whatsapp la wasionyimana. Admins ni sisi wawili.
Asavali ngoja niangalizie hapa kwako, niwaweke kwenye ignore list njemba zote zilizoninyima
Ni kuonjeshana tu oryt oryt mu add Kaboom na BADILI TABIA nakutumia na namba nyingine
Hooray mpendwa. Sasa tuanzishe group whatsapp la wasionyimana. Admins ni sisi wawili.
teh teh..Mpaka sasa ngoma droo..2*2Ni kuonjeshana tu oryt oryt mu add Kaboom na BADILI TABIA nakutumia na namba nyingine
Hii nukta muhimu sana..Naomba izingatiweDone. Warubuniwaji wawe wachache kuliko warubuni mpendwa. Itifaki izingatiwe.
Huo ni ukweli, kuna hadi walio na mtoto wa nje na wana olewa. Kuolewa ni bahati sometimesHiyo hakuna formula spesheli aisee! unaweza ukakifichaficha ukadoda nacho na anayegawa akaolewa na tarumbeta utamchezea.