GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,742
- 109,177
Kwangu Mimi GENTAMYCINE hawa Wafuatao ndiyo nawaona 'Mawakili' mahiri kabisa wa Kujitegemea nchini Tanzania na hawashindwi ng'o Kesi yoyote ile...
1. Fatma Karume
2. Peter Kibatala
3. Tundu Lissu
4. Jebra Kambole
5. Bernard Morrison ( aliyekuwa Mchezaji wa Sokwe Mbwa Nyani FC na sasa kahamia kwa Simba SC )
Na Mimi pia natamani kuwa Mwanasheria ( Wakili ) Nguli kama hawa Watajwa hapa juu.
1. Fatma Karume
2. Peter Kibatala
3. Tundu Lissu
4. Jebra Kambole
5. Bernard Morrison ( aliyekuwa Mchezaji wa Sokwe Mbwa Nyani FC na sasa kahamia kwa Simba SC )
Na Mimi pia natamani kuwa Mwanasheria ( Wakili ) Nguli kama hawa Watajwa hapa juu.