Syston
JF-Expert Member
- Nov 6, 2017
- 243
- 354
Habari wadau,
kumeibuka utapeli unaowalenga wahitimu wa vyuo, hasa ukizingatia kipindi hiki kila mtu anatafuta ajira na zimekuwa ngumu kwelikweli, hivyo matapeli hawa wamekuja na njia ya kutangazia watu kuna nafasi za kazi mahali fulani na kutoa mawasiliano yao.
Ukishawatafuta wanakuomba pesa kwa ajili ya fomu na na vitu vingine vya ajabu ajabu, kuna mtu ameombwa atume pesa ya fomu ya fire extinguisher, teh teh teh.
Kuweni makini na mtu anayeitwa ERNEST, ndivyo anavyojitambulisha na anatangaza nafasi za kazi Migodini hasa GGM, huyu ni tapeli anaanza kwa kuomba hela ya medical checkup form, na pesa zake ni zile ambazo huwezi enda polisi, 5000, 6500 akienda sana 10000.
anatumia email ya yahoo kuweni maikini.
Nawasilisha.
kumeibuka utapeli unaowalenga wahitimu wa vyuo, hasa ukizingatia kipindi hiki kila mtu anatafuta ajira na zimekuwa ngumu kwelikweli, hivyo matapeli hawa wamekuja na njia ya kutangazia watu kuna nafasi za kazi mahali fulani na kutoa mawasiliano yao.
Ukishawatafuta wanakuomba pesa kwa ajili ya fomu na na vitu vingine vya ajabu ajabu, kuna mtu ameombwa atume pesa ya fomu ya fire extinguisher, teh teh teh.
Kuweni makini na mtu anayeitwa ERNEST, ndivyo anavyojitambulisha na anatangaza nafasi za kazi Migodini hasa GGM, huyu ni tapeli anaanza kwa kuomba hela ya medical checkup form, na pesa zake ni zile ambazo huwezi enda polisi, 5000, 6500 akienda sana 10000.
anatumia email ya yahoo kuweni maikini.
Nawasilisha.

