Desire Dizaya
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,476
- 11,671
- Thread starter
- #21
Na utaathrika kisaikolojia kwelikweliatakunyanyasa akijua Siri yako balaa
Na utaathrika kisaikolojia kwelikweliatakunyanyasa akijua Siri yako balaa
Ujumbe mzuri na ni funzo pia,asante mtoa madaMimi sijui niwaweke kundi gani?
Mnajitengenezea silaha za kuwaangamiza wenyewe
Ushindwe kusea na ndugu yako iloishi nae miaka zaidi ya ishirini.. Ila unaweza kushea na mskaji au shoga yako mlokutana njiani serious?
Labda sababu sio mtu qa famjlia yako.. Ni mtu wa mbali huko
Lakini jua huyo ni binadamu kama binadamu wengine.. Siku akikuamulia umekwisha.. Na kama ndo aale wenye siri nzito umekwisha
Kiliwahi tokea kisa kikanifunza.. Nlikua na ndugu yangu huyo.. Ye alikua na shoga ake waloshibana.shoga mke wa mtu.. Basi ikawa haipiti siku bila kupigiana simu.. Mmoja akipata shida anakimbilia kwa mwingine.. Familia zinajuana.. Walidumu karibu miaka nane.. Walisaidiana mengi sana
Ila siku ya siku ikafika kwa kisa kidogo sana wakashindwa kuelewana wakatibuana
Basi ndo ikawa michambano kila siku
Ndugu akamwambia "unajua nna siri zako nzito? Unakumbuka? Sasa endelea nitibue nami naachia kwa watu hadi mumeo Uone
Bibie tangu dakika hiyo kaufyata kimya...aongee hajipendi
Siri zilitumika zana ya kummaliza.
Hata angesema achia zangu sababu nna zako bado angepata hasara kubwa sana..
Huyo unaeshea nae siri zako na mambo yako siku mkikosana umefikiria itakuaje?
mnoNa utaathrika kisaikolojia kwelikweli
Ujumbe mzuri na ni funzo pia,asante mtoa mada
Ni vizuri kujifunza kufunga domo lako, pia mara mia kumuamini adui yako kuliko rafiki, urafiki kwenye social issues tuu siyo mambo yangu serious kama biashara, familia na mahusiano
Natengeneza marafiki wengi lakini siwapi nafasi ya kunifahamu sana/kutumia mda mwingi pamoja
Marafiki wengi wanafanya vitu kwa ajili ya kukuridhisha, na siyo uhalisia wao, but deep down wamejaa wivu, kijicho na chuki, hawapendi kuona umeendelea zaidi yao na hayo yote anayamezea utakuja kujua siku mmekorofishana au kuingia 18 zake