kasanga70
JF-Expert Member
- Oct 19, 2015
- 212
- 489
Ushauri tuu! Kwa mtakaosafiri na magari yenu mwezi huu jihadharini sana, ukikuta tairi jipya limedondoka barabarani au begi usiingiwe na tamaa hata kidogo! Kitendo cha kusimama tuu ili upakie unachokiona mbele yako hapohapo ujue umekwisha litaibuka kundi la waasi kutoka mwituni idadi yake itakuchanganya sana! Kitakachojili unakijua! Acha tamaa endelea na safari zako! Ahsante