kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,011
- 11,942
Sijaona walilofanya.Labda ungesema ni nini walichofanya kuboresha maisha ya mtanzania... otherwise just keep on talking
Nakusikitikia sana kwa upeo wako mdogo,
ninachokuomba ipe kura yako CDM 2015 nakuhakikishia utanenepa sana mkuu.