Unataka we kama Nani? Kama ulipo hapakusatisfy njoo huku kwenye udaku..... Sio ulazimishe tukufate weeMwambieni askofu wenu tunataka mahubiri ya biblia takatifu sio udaku na maneno yasiyo ya Kiungu kama kuliamsha dude.Ebboo
Dah umetisha mkuu kwa tabia zako hizi za kutukana ni bora hata huko kwa Gwajima usiende tafuta kwanza mtaalamu wa akiliWatu wengine wanaanzisha thread za kiseng... Nge ili wapate wachangiaji wengi. Mimi naamini kuwa wewe uliyeanzisha hii topic ndo mwehu usiyejielewa coz Gwajima hajawahi kumlazimisha mtu yoyote awe mfuasi wake.
Watu wengine wanaanzisha thread za kiseng... Nge ili wapate wachangiaji wengi. Mimi naamini kuwa wewe uliyeanzisha hii topic ndo mwehu usiyejielewa coz Gwajima hajawahi kumlazimisha mtu yoyote awe mfuasi wake.
Nahisi wewe ni jitu kunizidi....Mijitu mingine akili zao zimefungwa kama hii yako ndo maana tunajaribu kuzifungua
Wewe unamushabikia nan mkuu afu mbona hilo povu ni la omo