Mnaomshabikia Gwajima hamjielewi

Mnaomshabikia Gwajima hamjielewi

Alisema anaongea na familia yake, sjui wewe yamekufikiaje?
Kama ndivyo kwanini akaongee yote haya kwenye nyumba ya ibada ?!
Angemfuata nyumbani kwake kwa hekima akazungumze nae
Kwani mpaka apigiwe makofi na vigelegele ndo itakuwa kasikika?!
 
Baba askofu Mungu aliyejuu aendelee kumlinda na kumjalia Maisha marefu
 
Umeongea,kweli,gwajima ni mfanya biashara tuu,
Natamani mbingu zingefunguka zishuhudie ukweli watu wafahamu kuwa mtu huyu ni money dealer tu hana chochote kuhusu habari za maisha bora ya Kiungu na ufalme wa Mungu
 
Baba askofu Mungu aliyejuu aendelee kumlinda na kumjalia Maisha marefu
Ninachoamini ni kuwa hamna ovu lolote linaweza kudumu ipo siku ulimwengu utashuhudia uovu wa huyu kiumbe kama anavyowaita wengine
 
kwa hiyo wafuasi wa kanisa lake hawajielewi
Hawajielewi kwa kuwa wanafuata masimulizi yake. Bahati nzuri masimulizi yake, nyie mnayaita mahubiri, yanavutia. Yale ni masimulizi ndio maana anasimulia mambo yanayojitokeza kila siku nchini. Anarukia kila kitu kwa sasa. Tena wanaongezeka maana masimulizi yake yanavutia.
 
Hawajielewi kwa kuwa wanafuata masimulizi yake. Bahati nzuri masimulizi yake, nyie mnayaita mahubiri, yanavutia. Yale ni masimulizi ndio maana anasimulia mambo yanayojitokeza kila siku nchini. Anarukia kila kitu kwa sasa. Tena wanaongezeka maana masimulizi yake yanavutia.
ok sawa
 
Hawajielewi kwa kuwa wanafuata masimulizi yake. Bahati nzuri masimulizi yake, nyie mnayaita mahubiri, yanavutia. Yale ni masimulizi ndio maana anasimulia mambo yanayojitokeza kila siku nchini. Anarukia kila kitu kwa sasa. Tena wanaongezeka maana masimulizi yake yanavutia.
Watu wanafurahia masimulizi!!!
Wengine utasikia jumapili hii sijui baba askofu ataamsha dude gani lazima niwahi nikakae mbele kupata uhondo vizuri. Sasa unashangaa hawa waumini wa huyu askofu ni wanaudaku,wanaenda kanisani kusikiliza neno la Mungu au habari za mtaa?!
Kinachohubiriwa na huyu mtu ni '"ZERO" kama anavyowaita wengine zero brain
BIBLIA TAKATIFU INA MANENO MATAKATIFU YANAYOSISITIZA MAMBO MATAKITU NA KUACHA NJIA ISIYOMPENDEZA MUNGU AMBAYE NI MTAKATIFU
Sio haya anastorisha huyu mtu
 
Back
Top Bottom