Elimu bado ni tatizo,vitu vingine ambavyo vinatakiwa vifanywe na serikali unaona kama neema.Huu ni ulimbukeni,uozo ulioonekana kwa kipindi kifupi ni mkubwa sana.Hata mnyika aliwahi kusema tumefika hapa kwasababu ya udhaifu wa JK.Mtu amekopa akajenga hayo madaraja,hiyo hospitali na hicho chuo ulichotaja,bado deni ametuachia sisi wananchi,hapo unasifia nini?Kukopa?Nani atashindwa kukopa na kujenga?Nchi hii ilimshinda kukusanya kodi hasa alipoweka uswahiba mbele kwa kuteua kijamaa,matokeo yake nchi ikazidi kudidimia huku deni likipanda.Huyu hajafanya jambo la kustahili kupongezwa,hata bila Rais,tungekuwa na waziri mkuu tu basi tungekuwa mbali zaidi ya hapi.Watu wanaiba pesa wanasamehewa,kila mtu anajichotea kadri awezavyo,ufisadi kila kona,huyu alikuwa rais au msanii?He is the worst president ever in the history of Tanzania,period