James Martin
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 1,206
- 1,509
Hivi punde nilikuwa nasoma maoni ya watu kuhusu JPM kuwa hajui kuzungumza Kiingereza/Kiswahili fasaha.
Ningependa kuwakumbusha Watanzania wenzangu kwamba kwa sasa kuna mambo muhimu zaidi ya kufuatilia kuliko mjadala huu wa lugha. Pia naomba mkumbuke kuwa kabla ya utawala huu tumeshapoteza miaka 10 bila ya kuwa na rais. Kwahiyo, tutumie changamoto ya awamu hii ya 5 kushirikiana kulijenga taifa.
Ningependa kuwakumbusha Watanzania wenzangu kwamba kwa sasa kuna mambo muhimu zaidi ya kufuatilia kuliko mjadala huu wa lugha. Pia naomba mkumbuke kuwa kabla ya utawala huu tumeshapoteza miaka 10 bila ya kuwa na rais. Kwahiyo, tutumie changamoto ya awamu hii ya 5 kushirikiana kulijenga taifa.