Mnaombeza JPM mkumbuke mlikotoka.

James Martin

JF-Expert Member
Apr 2, 2016
1,206
1,509
Hivi punde nilikuwa nasoma maoni ya watu kuhusu JPM kuwa hajui kuzungumza Kiingereza/Kiswahili fasaha.

Ningependa kuwakumbusha Watanzania wenzangu kwamba kwa sasa kuna mambo muhimu zaidi ya kufuatilia kuliko mjadala huu wa lugha. Pia naomba mkumbuke kuwa kabla ya utawala huu tumeshapoteza miaka 10 bila ya kuwa na rais. Kwahiyo, tutumie changamoto ya awamu hii ya 5 kushirikiana kulijenga taifa.
 
Hivi punde nilikuwa nasoma maoni ya watu kuhusu JPM kuwa hajui kuzungumza Kiingereza/Kiswahili fasaha.

Ningependa kuwakumbusha Watanzania wenzangu kwamba kwa sasa kuna mambo muhimu zaidi ya kufuatilia kuliko mjadala huu wa lugha. Pia naomba mkumbuke kuwa kabla ya utawala huu tumeshapoteza miaka 10 bila ya kuwa na rais. Kwahiyo, tutumie changamoto ya awamu hii ya 5 kushirikiana kulijenga taifa.
really , Are u serious ?
 
mwacheni mzee wa watu afanyage kazi chongereza chongereza utakura chongereza,mbona ulaya katoto kadogo kanaongea chongereza
 
Kwenye kampeni alikua anasalimia kwa lugha mbali mbali nikajua ni bingwa wa lugha
kumbe......
 
Hivi punde nilikuwa nasoma maoni ya watu kuhusu JPM kuwa hajui kuzungumza Kiingereza/Kiswahili fasaha.

Ningependa kuwakumbusha Watanzania wenzangu kwamba kwa sasa kuna mambo muhimu zaidi ya kufuatilia kuliko mjadala huu wa lugha. Pia naomba mkumbuke kuwa kabla ya utawala huu tumeshapoteza miaka 10 bila ya kuwa na rais. Kwahiyo, tutumie changamoto ya awamu hii ya 5 kushirikiana kulijenga taifa.
Mkuu punguza ushabiki uliopitiliza..,
Plse litendee haki Jukwaa letu hapa JFs kw kujitahidi kujituma ktk kufikiri...

Nchi yetu toka tupate uhuru zaidi ya miaka 50, tumeongozwa na 4 Presidents, na mwaka jana amepatikana wa 5.

Watanzania wanastahili kuishi maisha yenye ustawi mzuri na kutumia haki zao za msingi, pamoja na kutoa maoni yao khs Viongozi wa Nchi hii.
 
Acheni matusi na kebehi zisizo na utu nyie watoto!! Eti Tanzania haikua na rais kweli?

sure,alichoweza kufanya ni kusaidia familia yake na maswahiba zake,ila msaada kwa watanzania ni 0%
 
Mkuu punguza ushabiki uliopitiliza..,
Plse litendee haki Jukwaa letu hapa JFs kw kujitahidi kujituma ktk kufikiri...

Nchi yetu toka tupate uhuru zaidi ya miaka 50, tumeongozwa na 4 Presidents, na mwaka jana amepatikana wa 5.

Watanzania wanastahili kuishi maisha yenye ustawi mzuri na kutumia haki zao za msingi, pamoja na kutoa maoni yao khs Viongozi wa Nchi hii.
Raisi wa mambo ya nchi za nje.Rais ambaye aliulizwa kwanini TZ ni maskini aksema hajui.Badala ya kusema upigaji umezidi.
 
kama umesema miaka 10 iliyopita hatukuwa na rais,basi kuna uwezekana mkubwa sana baada ya miaka 10 utasema tena hatukuwa na rais.maana anachokifanya magufuli ndani ya hii miez 6 ndicho alichokifanya kikwete-kucheza na akili za watanzania
 
Hivi punde nilikuwa nasoma maoni ya watu kuhusu JPM kuwa hajui kuzungumza Kiingereza/Kiswahili fasaha.

Ningependa kuwakumbusha Watanzania wenzangu kwamba kwa sasa kuna mambo muhimu zaidi ya kufuatilia kuliko mjadala huu wa lugha. Pia naomba mkumbuke kuwa kabla ya utawala huu tumeshapoteza miaka 10 bila ya kuwa na rais. Kwahiyo, tutumie changamoto ya awamu hii ya 5 kushirikiana kulijenga taifa.

peleka use'nge wako huko.
 
sure,alichoweza kufanya ni kusaidia familia yake na maswahiba zake,ila msaada kwa watanzania ni 0%
sishangai unaishi kigamboni na soon unapita kwenye daraja ulilolijenga huyo unayemtukana. ukiumwa moyo unakimbizwa kwenye taasisi ya moyo aliyoipigania huyo unayemtukana, ukitaka kwenda kuona ndugu zako kanda ya ziwa hupiti nchi jirani kwa juhudi za huyo unayemtukana. Haishangazi umesoma shule za kata alizozijanga huyo unayemtukana na ukagraduate pale UDOM ambazo ni juhudi za huyo unayemtukana kitu ambacho hakikuwepo hata kwenye ilani ya chama alichopewa dhamana kukiwakilisha. bila shaka utakuwa bwabwa wewe.
 
sishangai unaishi kigamboni na soon unapita kwenye daraja ulilolijenga huyo unayemtukana. ukiumwa moyo unakimbizwa kwenye taasisi ya moyo aliyoipigania huyo unayemtukana, ukitaka kwenda kuona ndugu zako kanda ya ziwa hupiti nchi jirani kwa juhudi za huyo unayemtukana. Haishangazi umesoma shule za kata alizozijanga huyo unayemtukana na ukagraduate pale UDOM ambazo ni juhudi za huyo unayemtukana kitu ambacho hakikuwepo hata kwenye ilani ya chama alichopewa dhamana kukiwakilisha. bila shaka utakuwa bwabwa wewe.

Elimu bado ni tatizo,vitu vingine ambavyo vinatakiwa vifanywe na serikali unaona kama neema.Huu ni ulimbukeni,uozo ulioonekana kwa kipindi kifupi ni mkubwa sana.Hata mnyika aliwahi kusema tumefika hapa kwasababu ya udhaifu wa JK.Mtu amekopa akajenga hayo madaraja,hiyo hospitali na hicho chuo ulichotaja,bado deni ametuachia sisi wananchi,hapo unasifia nini?Kukopa?Nani atashindwa kukopa na kujenga?Nchi hii ilimshinda kukusanya kodi hasa alipoweka uswahiba mbele kwa kuteua kijamaa,matokeo yake nchi ikazidi kudidimia huku deni likipanda.Huyu hajafanya jambo la kustahili kupongezwa,hata bila Rais,tungekuwa na waziri mkuu tu basi tungekuwa mbali zaidi ya hapi.Watu wanaiba pesa wanasamehewa,kila mtu anajichotea kadri awezavyo,ufisadi kila kona,huyu alikuwa rais au msanii?He is the worst president ever in the history of Tanzania,period
 
sishangai unaishi kigamboni na soon unapita kwenye daraja ulilolijenga huyo unayemtukana. ukiumwa moyo unakimbizwa kwenye taasisi ya moyo aliyoipigania huyo unayemtukana, ukitaka kwenda kuona ndugu zako kanda ya ziwa hupiti nchi jirani kwa juhudi za huyo unayemtukana. Haishangazi umesoma shule za kata alizozijanga huyo unayemtukana na ukagraduate pale UDOM ambazo ni juhudi za huyo unayemtukana kitu ambacho hakikuwepo hata kwenye ilani ya chama alichopewa dhamana kukiwakilisha. bila shaka utakuwa bwabwa wewe.
Mimi si mwanaCCM na ninaichukia sana CCM kama adui namba 1 aliyeififisha safari ya maendeleo ya Watanzania. Lakini kuna mambo naweza kumpongeza Kikwete.

Kikwete alikuwa dhaifu sana katika uteuzi maana hakuwa na vigezo sahihi, badala ya kimteua mtu kwa merit, kigezo chake kikuu ilikuwa uswahiba na undugu, na hilo lilimharibia sana. Aliwajaza marafiki na ndugu kwenye serikali yake wasiokuwa na uwezo wowote.

Magufuli alistahili.kuacha mambo yote ya kipumbavu ya utawala wa Kikwete lakini alistahili kuendeleza mambo mazuri ya utawala wa Kikwete, hasa kwenye mahusiano ya kimataifa.

Utawala wa Magufuli unaonekana kufanya vizuri kwenye nidhamu, kuzuia ubadhirifu, matumizi mazuri ya rasilimali za Taifa, kupiga vita rushwa na uwajibikaji lakini imeonesha kuboronga sana kwenye demokrasia, utawala wa sheria, ujenzi wa mifumo ya kiutawala na kulinda haki na uhuru wa Raia. Utawala wa Magufuli ulikuwa na nafasi kubwa zaidi ya kufanikiwa kuliko utawala wa Kikwete lakini akiwasikiliza waimba mashairi kama akina Polepole kuwa Tanzania haihitaji mahusiano mazuri na jamii ya kimataifa, anaweza kuboronga kuliko Kikwete.

Mataifa ya Magharibi yana uwezo wa kufaidiki rasilimali za.Afrika bila ya kulazimika kutoa misaada. Watu wenye uelewa mdogo hawawezi kulielewa hilo.
 
Back
Top Bottom