Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,334
- 23,940
nasubiri u-intro kwa hamu hapa
Hia hia??! Apana bana...watamzengea wengi. Ila jua tu hadi sasa amekizi vigezo vyote..ndani na nje...!!!
nasubiri u-intro kwa hamu hapa
Ha ha ha hata umuwekee bill ya steki buchani akiona panya atakimbiza tu...
haya huyo paka ndo nani tena?
mhhhhhhhhhhh
mnaoa vituko halafu kutwa kupiga mechi za mchangani kwa hao
wenye makalio kama dansa wa baikoko....