Kudo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 1,809
- 6,081
*Mwanaume* haitaji Mwanamke mwenye Sura nzuri kama *Miss Utalii* na *Makalio* yanayoweweseka akitembea kama mshumaa uliopulizwa na upepo wa bahari ya Hindi....
Hizi ni sifa temporary kwa ajili ya tamaa ya macho na ngono...
*THERE IS LIFE BEYOND ATTRACTION AND SEX*
Ndo maana utashangaa mtu amedate mademu 20 wakali kinoma wenye wezere kama wamejiumba lakini anaoa demu wa 'kawaidaaa' mwenye *sura kama amepiga chafya* isiyotarajiwa halafu unaanza kujiuliza huyu kaka amekosa nini.. Hajakosa kitu..amevumbua dhahabu. Mwanaume anahitaji Mwanamke *MSAIDIZI... MSHAURI... MBEMBELEZAJI.... MTIA MOYO... MWENYE MAONO...*
Sio Mwanamke anajua Club zote mpya zilizofunguliwa Wiki hii lakini hana taarifa kama kuna Plot zinauzwa Sehemu Fulani ili amshauri Mumewe *ku-acquire Land.*
Utashangaa na Mkalio wako kama Dansa wa Baikoko umetemwa na anaolewa Bishost hajawahi kuvaa kipedo tangu azaliwe, anavaa charanga.
Kama unadhani Shepu ni Mali nenda kaombe kazi Twanga Pepeta...
*Tutaendelea kuoa vituko kwa sababu vina Akili na vinajiheshimu na wewe utaendelea kualikwa kwenye harusi kama Mtazamaji kwa sababu HUOLEKI*
Hizi ni sifa temporary kwa ajili ya tamaa ya macho na ngono...
*THERE IS LIFE BEYOND ATTRACTION AND SEX*
Ndo maana utashangaa mtu amedate mademu 20 wakali kinoma wenye wezere kama wamejiumba lakini anaoa demu wa 'kawaidaaa' mwenye *sura kama amepiga chafya* isiyotarajiwa halafu unaanza kujiuliza huyu kaka amekosa nini.. Hajakosa kitu..amevumbua dhahabu. Mwanaume anahitaji Mwanamke *MSAIDIZI... MSHAURI... MBEMBELEZAJI.... MTIA MOYO... MWENYE MAONO...*
Sio Mwanamke anajua Club zote mpya zilizofunguliwa Wiki hii lakini hana taarifa kama kuna Plot zinauzwa Sehemu Fulani ili amshauri Mumewe *ku-acquire Land.*
Utashangaa na Mkalio wako kama Dansa wa Baikoko umetemwa na anaolewa Bishost hajawahi kuvaa kipedo tangu azaliwe, anavaa charanga.
Kama unadhani Shepu ni Mali nenda kaombe kazi Twanga Pepeta...
*Tutaendelea kuoa vituko kwa sababu vina Akili na vinajiheshimu na wewe utaendelea kualikwa kwenye harusi kama Mtazamaji kwa sababu HUOLEKI*
- 😜😜😜*****- *BADILIKA BINTI* -*****😜😜😜