Mnaojiita wadada wa Mujini...

Mnaojiita wadada wa Mujini...

stata mzuka

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2012
Posts
4,834
Reaction score
1,765
Mume hahitaji mke mwenye sura nzuri kama Miss Utalii na makalio yanayoweweseka akitembea kama mshumaa uliopulizwa na upepo wa bahari ya Hindi.

Hizi ni sifa temporary kwa ajili ya tamaa za macho na Ngono....THERE IS LIFE BEYOND ATRACTION AND SEX Ndio maana utashangaa mtu ameDate madem 20 wakali kinoma wenye wezere kama wamejiumba lakini anaoa dem wa kawaidaaaa mwenye sura kama amepiga chafya isiyotarajiwa, halafu unauliza huyu kaka amekosa nini. Hajakosa kitu ila amevumbua dhahabu.

Mume anahitaji mke MSAIDIZI,MSHAURI,MBEMBELEZAJI,MTIA MOYO na MWENYE MAONO Sio m/mke anajua Club zote mpya zilizofunguliwa wiki hii lakini hana taarifa kama kuna Plot zinauzwa Madale ili amshauri mumewe ku-Acquire Land.

Utashangaa na mkalio wako kama dansa wa Baikoko umetemwa na anaolewa Bi.Shosti hajawahi kuvaa kipedo toka azaliwe anavaa Charanga. Kama unaona Shepu mali kaombe kazi Twanga Pepeta.

Tutaendelea kuoa vituko kwasababu vina akili na vinajiheshimu na wewe utaendelea kualikwa kwenye harusi na ukacheze kwaito kwasababu HUOLEKI.



Najua wapo watakaojipa moyo kuolewa sio lazima ujue tayari Jiwe Gizani hilo. Utakaa kwenu uwajazie wazaz wako wajukuu wenye baba tofauti.
 
Hya ngoja waje...ma-saint sie tupo kwa wazazi bado tunasubiri ndoa...hehehhehhehe..

Kweli nimeamin upo kwa wazaz maana km ni kwa mumeo ss hiv ungekuwa unadumisha ndoa.
 
Aise..ila hapo kwenye maini..unakosea maini yawepo lkn yawndanecna tabia nzuri
 
Heee kumbe...tumekuckia lakn mbona ucku sana?z everythn under control kuanza kurusha majiwe ucku?
 
Are you speaking from the experience? Duh ume mwaga machungu yote, kimombo "you have vented out all the frustrations" tena usiku wa manani (siyo manane-wachapiaji wa lugha).
 
Haahahahahah......ati kama waona shepu mali kaombe kazi Twanga Pepeta.
 
Kuna kadada huku uswazi kwetu, jamani ni kazuriiii..... Kanafurahisha macho, kakitembea, kakicheka, kakiongea. Hakyanani hapa ndo teasema "God is Great".

Njoo sasa uone kanavyowapanga, yaani kanagongwa... kanagongwa na wavuta bangi, waajiriwa, jobless...Kwa elfu mbili tu unaweza chojoa na kumega...
 
Kuna kadada huku uswazi kwetu, jamani ni kazuriiii..... Kanafurahisha macho, kakitembea, kakicheka, kakiongea. Hakyanani hapa ndo teasema "God is Great".

Njoo sasa uone kanavyowapanga, yaani kanagongwa... kanagongwa na wavuta bangi, waajiriwa, jobless...Kwa elfu mbili tu unaweza chojoa na kumega...

Mkuu kwani ww unakaa maeneo gani, nataka tujenge urafiki, ni PM maelekezo ukiweka hapa jukwaani watu watakusumbua!!
 
Back
Top Bottom