Mnaoishi na wenza mnawezaje kuvumilia mapungufu yao?

Kiufupi wanawake huwa ni wanatuvuta kurudi nyuma ila ni mapambano yetu tu ndo huwa yanatufikisha kwenye nchi ya ahadi.

Ni mara chache sana mwanamke kutoa support kwa mwanaume kufika pahali.
Ni kwel kabisa mkuu
 
Kwenu ni wapi? Mama yako bado yupo hai? Mashangazi je? Mpeleke huko umwambie had atakapo jifunza kuwa makin ndipo utakapo muoa akishindwa bas kila mtu ashike 50 zake mpe miezi miwili tu.

2: usilete mfanyakaz bali tafta mtu (mke wa kaka ako mwenye akili timamu) umuombe akusaidie kumfundisha baadhi ya mambo mhimu ndan ya nyumba. Hapo unamchana kabsa kuwa hakuna huruma hio ni nafas ya mwisho umempa akishindwa ataenda kuolewa na mboga 7 wenzake ww utaki ushenzi.

NB: usimletee mfanya kaz wa ndan kabisaaa usithubutu kama unaitaji mama bora ndan ya nyumba yako.
 
Huyo lazima umfundishe taratibu...si chini ya miezi sita.

La sivyo kaoe kina mwajuma ndala ndefu....

Halafu kukiwa na upendo mapungufu ya mwenzio utayabeba na kurekebishana pole pole

Hakuna pungufu hapo.kuna changamoto tu kutokana na wewe na yeye kutofautiana lifestyle!!!
 
Back
Top Bottom