Mnaohitaji fremu Kariakoo karibuni

Mnaohitaji fremu Kariakoo karibuni

fact only

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2024
Posts
975
Reaction score
1,356
Kwa wale wote wanao hitaji fremu Kariakoo karibuni sana {Hakuna kulipia kilemba wala ujanja ujanja mwingine hivyo msijali kabisa kabisa}.
MFANO (Kuna video Hapo chini). Hii ipo mtaa wa msimbazi/muhonda jirani na makao makuu ya Club ya Simba/Sandaland the only one kariakoo.
Bei milioni ishirini na mbili tu(22M). Hapo haulipi KODI mpaka mwezi wa 4 Mwakani. {Narudi tena ukilipa hiyo pesa kulipa Kodi mpaka mwakani mwezi wa nne}. Karibuni wafanya biashara pia mnaotaka kuanza biashara hapa hakuna kilemba wala ujanja ujanja karibuni sana .
Fremu 👇👇👇.
 

Attachments

  • business kariakoo..mp4
    10.1 MB
  • business VID-20250206-WA0761.mp4
    1.5 MB
Weka bei ya frem...
Zipo nyingi Uncle kuanzia laki 2 kigoli, laki 5 , laki 8 mpaka milion 1 inategemea unahitaji mtaa gani pia wapi Yani ghorofani, chini au underground?
 
Niliona pale DDC wameweka flemu za kutosha na pale NMB, bila shaka ndo hizo mkuu.
 
Niliona pale DDC wameweka flemu za kutosha na pale NMB, bila shaka ndo hizo mkuu.
Hapana me na_deal na kariakoo yote{Mitaa yote chini, ghorofani na underground kabisa}.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom