Joyce joyce
JF-Expert Member
- May 23, 2020
- 457
- 1,973
Wakuu,
Nimeona watu kadhaa wakisema kuwaLissu amekosea kisheria kuhutubia wanachama wake kabla ya muda wa kampeni, najiuliza kuwa hawa watu kinewachanganya nini had kusahau kuwa Magufuli alihutubia baada ya kutoka kuchukua form tena akatumia vyombo vyote vya habari tena alikuwa akipiga kabisa kampeni, hivi siku ile si walifurahi na wakacheka?
Alikuwa akiwatukana wapinzani wake kuwa wabadilisha rangi au mmesahau? Know kinachowachanganya ni kilo? Si mlitamba siku ile mkaona kuwa mmeshinda? Hahahah Hahahaha Hahahaha
Hivi anaehutubia kwa kutumia TV tena live hotuba inaenda kwa Watanzania wote na anaehutubia watu walioko hapo hapo nani nani anafanya kampeni kati ya hao?
Siku ile mlikodi vyombo vya habari kuoneshwa nchi nzima mgombea wenu mkajiona wajanja, mkaona mmeshindaa? Na mkaona mmefunikaaa na mlitangaza kwenye vyombo vya habari mkutano ule nia ilikuwa muoneshe nyomi ya watu Wakati walikuwepo watu had toka mikoa mingne, mumemuona lisu amefunika tena Kwa idadi ya watu Wa kaeneo kale kale, kama nikijiji ni kutoka kijiji hicho hicho kama ni wilaya ni kutoka wilaya hiyo hiyo, mmepaniki
Hivi kwanini kila mnalolifanya kutaka kuonesha wapinzani kuwa mna watu, mnakubalika upinzani umekwisha linajibiwa kwa muda mfupi? Basi muwe mnakuwa wapole ndugu, tatizo mnashindwa kuelewa kuwa upinzani wa Watanzania uko kwenye damu
Nimeona watu kadhaa wakisema kuwaLissu amekosea kisheria kuhutubia wanachama wake kabla ya muda wa kampeni, najiuliza kuwa hawa watu kinewachanganya nini had kusahau kuwa Magufuli alihutubia baada ya kutoka kuchukua form tena akatumia vyombo vyote vya habari tena alikuwa akipiga kabisa kampeni, hivi siku ile si walifurahi na wakacheka?
Alikuwa akiwatukana wapinzani wake kuwa wabadilisha rangi au mmesahau? Know kinachowachanganya ni kilo? Si mlitamba siku ile mkaona kuwa mmeshinda? Hahahah Hahahaha Hahahaha
Hivi anaehutubia kwa kutumia TV tena live hotuba inaenda kwa Watanzania wote na anaehutubia watu walioko hapo hapo nani nani anafanya kampeni kati ya hao?
Siku ile mlikodi vyombo vya habari kuoneshwa nchi nzima mgombea wenu mkajiona wajanja, mkaona mmeshindaa? Na mkaona mmefunikaaa na mlitangaza kwenye vyombo vya habari mkutano ule nia ilikuwa muoneshe nyomi ya watu Wakati walikuwepo watu had toka mikoa mingne, mumemuona lisu amefunika tena Kwa idadi ya watu Wa kaeneo kale kale, kama nikijiji ni kutoka kijiji hicho hicho kama ni wilaya ni kutoka wilaya hiyo hiyo, mmepaniki
Hivi kwanini kila mnalolifanya kutaka kuonesha wapinzani kuwa mna watu, mnakubalika upinzani umekwisha linajibiwa kwa muda mfupi? Basi muwe mnakuwa wapole ndugu, tatizo mnashindwa kuelewa kuwa upinzani wa Watanzania uko kwenye damu