Mnao somesha wachumba mkowapi

Hizi nyuzi zenu mtafanya bebe wangu akipita hapa aghairi kulipa ada..... Watu hamuishi kulalamika cheiii..... Kama hamna fweza waacheni wenye nazo walipe ada jameni eeeiiish
 
Iiiii yani unajiongezea na hasara nyingine zisizo za lazima hahaa huipend hela yako,we fanya muoe au mpe mimba akizaa ndio msomeshe,
Sikufichi nilikua nasoma chuo tulikua tunawala wake za watu wanaosomeshwa vibay mnoo

Swala siyo kuliwa, mke/mpenzi akishakuwa mwanachuo ni lazima aliwe tuu!

Nilicho jaribu kuangalia hapa ni kutokumkimbia jamaa, unasomesha mwanamke si mchumba/ si mke/ yaani mpenzi tuu akienda chuo anakukimbia kabisaaa!!

Akimtia mimba yupo masomoni inaweza kumsumbua this why sikuliona wazo hilo kama lina mashiko sana
 
Kama una mtafuna huku una msomesha haina shida hela ni zao tunatafuta kwa ajili yao cha msingi watupe papuchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…