Mnamkumbuka mzee Magambo?

Wewe ukadhani dsm wote tumekulia ushwazi..??? Kuna mtu hajawahi panda daladala hapa dsm..
Hahaha mkuu ilitawala uda na ikalusi kumbakumba gari zenu zikiharibika mlikuwa mnapanda kulikuwa na luti za masaki mpaka maiki o cheni(mikocheni)
 
Kuna kitu kinakupungua ndugu, unafikiri kila aliyemo JF ni mtu wa mjini? Au unafikiri kila unayemjua ni lazima wote wamjue?
 
Salaam mhenga mwenzangu
 
Miaka ya 80 kulikuwa na mtu kama huyo maeneo ya Kigogo ila tulikuwa tunamwita KILAMBO.
Sijajua kama ndiyo huyo au?
 
Dah! kweli kabisa wakati kutembea kutoka kinondoni kwenda airpot kwa mguu kuangalia ndege ilikuwa kitu cha kawaida sana haijalishi una umri gani,kwenda pale Drive In kuangalia sinema lakini mpo nje hata sauti hamsikii hahaaaaaa!
 
Kuna kitu kinakupungua ndugu, unafikiri kila aliyemo JF ni mtu wa mjini? Au unafikiri kila unayemjua ni lazima wote wamjue?
Ungesoma heading ya huu uzi usingeuliza hili swali,ila kwa vile umekurupuka....
 
Miaka ya 80 kulikuwa na mtu kama huyo maeneo ya Kigogo ila tulikuwa tunamwita KILAMBO.
Sijajua kama ndiyo huyo au?
Ndiye huyo huyo mkuu, wazawa wa mji huu wote tunamjua.

Chinichini ilikuwa inavuma jamaa ni usalama.[emoji16][emoji16][emoji16]
 

Mkuu unanitoa machozi. Nakumbuka mbali sana. Nahisi atakuwa ameshafariki ila Sipo sure maana miaka ile ya 80+ alikuwa mtu mzima kiasi[emoji24][emoji24]
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…