Mnamfahamu huyu mrembo!

Mnamfahamu huyu mrembo!

Unachompendea ni nn hasa maana nikiangalia nyuma naona vitako vimekakamaa, nyama zenyew hazishawishi halafu watu kama hao ukiingia nao ulingon kazi zero wamejaa nyodo tu na kuact kulia kizungu
Nafuu useme wewe
 
Siku zote huwa nawasikia wazazi wakisema hakuna anaependa mtoto wake aharibikiwe. Japo kuna wazazi wanawatuma watoto wao hela bila kujali wanazipataje ndo haya.

Nimemuona baba yake ila mama yake sijamuona na sijui kama anafurahia haya. Mschana na ua na ua linakuwa na thamani zaidi linapokuwa halishikwi shikwi hovyo. Siku zote watu wanaokuzunguka au marafiki au company uliyonayo ndo inakupelekea uwe na tabia flani.

Mbaya sana.
 
Back
Top Bottom