Mnamfahamu huyu mrembo!

Mnamfahamu huyu mrembo!

Anaitwa apple d au we search insta OFFICIAL TUNDA nakapenda balaa
Unachompendea ni nn hasa maana nikiangalia nyuma naona vitako vimekakamaa, nyama zenyew hazishawishi halafu watu kama hao ukiingia nao ulingon kazi zero wamejaa nyodo tu na kuact kulia kizungu
 
aaahh ila kupata kiki kwny mitandao ni rahc sana kwa kweli.
 
Ila kamenifanya nimkumbuke VALENTINA wangu uwiii mama uko wapieeeeee...
 
Kweli waliosema "The beaty of someone is in the eyes of the beholder" hawakukosea. Mi namwona wa kawaida saana
JAAA MTOTO HUYUUUU
f3e42667161e863c834ee3307fe13cec.jpg
NATESEKA WANA JF
 
Huko ulikomkuta halafu si mrembo wa kawaida Sema umeona mamsosi na Mabia unaweweseka... Watoto wa watu Hawa...... We saka hela za chips Yai kwa Mangi uvizie bekitatu
Hapana mkuu wala sio msosi
 
mkuu upo sahihi, na mwanamke mzr kuliko wote ni mke wako, wengine wote hata kama watavua ch.pi, watakuwa nungayembe, ila wa thamani ni mkeo...
Jibu lako safi sana
 
Nadhani yuko South Africa!! But ni mtz! Ana hang sana na wanamuziki wa bongo wakiendaga huko...so lazima watakuwa wanajionjea kidogo kama Young D etc...ni hayo tu kwa leo
Hakuna mwanamke asiye fanya hiyo makitu hata kama aneolewa yaani mi nampenda hata iweje
 
Kuuuuumbe?Aiseeee
Hivi vitoto vina balaa sana.
Halafu wazazi wake wanachekelea tu!
Nifaa ushawahi muona mzaz wake ACHA MANENO YAKO HUYU MZEE AWEZ HIZO MAMBO
582774760b80400b341c2dd3c7f76ac3.jpg

Licha ya hivo embu asume ni mwanao hata kama mnalumangia ugali na dagaa
 
Hahaha...huyu ndio mrembo? Kitu flat screen na amekomaa hivyo,

Naona umekuja kumuuzisha sura huku tumtambue. TZ bana.
 
Waaap!!! arafu humu siku hizi mnatafuta umaarufu kunuka tutolee mapicha picha ya vitoto vya la pili 'C'

Kidemu gani vitako kama gubiti, kakichwa kama tunguli...!!!
 
Wewe nae acha ushamba,hujui DM?
Maana unavyomsemea ni kama Beyonce au Rihanna vile.....
Wakati ukimcheki huko nina uhakika hata masaa hayapiti atakujibu.
Ukiniona nimefanya maamuzi hadi yakuja hapa jf jua maji yamenifika shingon
 
Back
Top Bottom