Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,411
- 82,338
Hata kama wakiwa maelfu wenye mtazamo kama wake, bado hutokosa wa kukupenda.Vibaya hivy, flat screen tuponee wapi!
Jiamini,achana na majigambo ya wachache...
Hata kama wakiwa maelfu wenye mtazamo kama wake, bado hutokosa wa kukupenda.Vibaya hivy, flat screen tuponee wapi!
Umeonaeee!Mimi simjui .. Ila hashawishi sana ika ngoja nikamfukonyoe vizuri
Unachompendea ni nn hasa maana nikiangalia nyuma naona vitako vimekakamaa, nyama zenyew hazishawishi halafu watu kama hao ukiingia nao ulingon kazi zero wamejaa nyodo tu na kuact kulia kizunguAnaitwa apple d au we search insta OFFICIAL TUNDA nakapenda balaa
Ha ha haUmeonaeee!
Spati picha ulivyomtamu kwa kipind hiki
Daaah nawewe unmsifia kweli ..UZYRI WA MKAKASI....Ni mzuri. Hawa ndo watoto wakare wa kutembea nao ufukweni.
Alitaka kufanana na wifi yenu.
Hakuna mwanamke asiye fanya hiyo makitu hata kama aneolewa yaani mi nampenda hata iwejeNadhani yuko South Africa!! But ni mtz! Ana hang sana na wanamuziki wa bongo wakiendaga huko...so lazima watakuwa wanajionjea kidogo kama Young D etc...ni hayo tu kwa leo
Naskia huyo demu ni mtoaji mzuri wa tigo pesa.Mm dem kama hana tako ....total disqualified