Yan jf hahhhahhaKajinga sana na Uzi wake wa Kihehe.
Naona Umeogopa kuwatajaNaona wakuja mapovu yanawatoka
Aiseee, siku nyingine uwe unaacha ujingaKajinga sana na Uzi wake wa Kihehe.
Unajisikiaje kuanza kufuatilia Vitu ambavyo havikihusu?Aiseee, siku nyingine uwe unaacha ujinga
Usiwatukane wahehe mkuu,,,,dada zao watamu balaa,,,na wana heshimaKajinga sana na Uzi wake wa Kihehe.
Sasa mbona unang'ata vidole, Wenzako tumeishi Ughaibuni kabla ya kuja huku kwenye kijiji chako usidhani wote wa Kolomije.Mfano si wewe Raphaël wa ureno. Nahisi Enzi hizo dar mlikua mnapaita mjini
Hapo sawa naomba namba ya mmoja basi, hayo ndiyo mambo sio kuongelea siasa tuuu.Usiwatukane wahehe mkuu,,,,dada zao watamu balaa,,,na wana heshima
Usijali Mzaramo mwenye kujua Dar ndiyo Mwisho wa majiji yote duniani.Haya mzungu
Halikuwa tank la gas lilikuwa tank la kuhifazia mafuta ya Jet A1 yaliyokuwa yanaendeshea mitambo ya pale ubungoWakazi WA dar WA Kitambo hiko mnakumbuka tank la gesi la songas pâle ubungo lilipolipuka Enzi hizo nipo primary(kabla ya 2004) nilikua naishi kigogo luhanga kwenye magheto toka mkoloni
Kinabo ni kama fala maana yakeSijajua hilo Neno Kinabo lina maana gani!
Ok Nilijua tu ameleta ujinga na mimi nimemjibu ujinga wa KinyaturuKinabo ni kama fala maana yake
Natamani uelezee zaidi.TPA kikosi cha zimamoto, fire walichemka