Mnakumbuka tank la gesi lilipolipuka ubungo

Mnakumbuka tank la gesi lilipolipuka ubungo

cleaner wrasse

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2013
Posts
9,079
Reaction score
10,111
Wakazi WA dar WA Kitambo hiko mnakumbuka tank la gesi la songas pâle ubungo lilipolipuka Enzi hizo nipo primary(kabla ya 2004) nilikua naishi kigogo luhanga kwenye magheto toka mkoloni
 
Wakazi WA dar WA Kitambo hiko mnakumbuka tank la gesi la songas pâle ubungo lilipolipuka Enzi hizo nipo primary(kabla ya 2004) nilikua naishi kigogo luhanga kwenye magheto toka mkoloni
Hebu kaa utulie uweke kumbukumbu zako sawa pamoja na matukio yaliyotokea tank hilo la gesi lilipolipuka alafu uandike uzi upya kwa mtiririko mzuri
 
Wakazi WA dar WA Kitambo hiko mnakumbuka tank la gesi la songas pâle ubungo lilipolipuka Enzi hizo nipo primary(kabla ya 2004) nilikua naishi kigogo luhanga kwenye magheto toka mkoloni
Tank halikulipuka, Ila lilikuwa likivuja. Kilichokuwa kikiwaka ni ule mtiririko uliokuwa ukivuja kutoka kwenye tank
 
Wakazi WA dar WA Kitambo hiko mnakumbuka tank la gesi la songas pâle ubungo lilipolipuka Enzi hizo nipo primary(kabla ya 2004) nilikua naishi kigogo luhanga kwenye magheto toka mkoloni

Wakati huo IGP alikuwa Mahita
RPC wa Dsm alikuwa Tibaigana
Waziri wa Nishati akiwa Daniel Yona
Kijana toka TPA ndo alinusuru Jiji letu kwa kujitosa kwny moto kuziba leakage
 
Wakati huo IGP alikuwa Mahita
RPC wa Dsm alikuwa Tibaigana
Waziri wa Nishati akiwa Daniel Yona
Kijana toka TPA ndo alinusuru Jiji letu kwa kujitosa kwny moto kuziba leakage
Kumbe ilikuwa zahma kubwa?
 
Back
Top Bottom