Huyo alikuwa cha Mtoto. Ila sema jamaa alikuwa anajua kutembeza mikono si kawaida.
Ni kama alirithi baada ya Bruce Lee na baadaye ndiyo wakaja Jet Li na Jackie Chan.
Kiboko ya kutesa Wanakijiiji alikuwa huyu chini, wakumbuka jina lake?
Sasa anaitwa Marehemu Amjad Khan.