Mnakaribishwa kuja Maktaba Kuu ya Taifa iliyoko barabara ya Bibi Titi

Nyundo Kavu

Senior Member
Dec 6, 2011
186
85
Wadau,

Mnakaribishwa kuja Maktaba Kuu ya Taifa iliyoko barabara ya Bibi Titi ili kujifunza mengi kupitia vitabu, majarida mbalimbali na magazeti ya tangu miaka ya 1920 mpaka leo hii. Utamaduni wa kutumia Maktaba hususani kwa wakazi wa Dar ni mdogo mno, lakini hamjachelewa.

Kuna kitengo cha watoto ambapo kuna michezo mbalimbali kwa ajili yao na pia vitabu vizuri vya hadithi.
Kwa wanafunzi, vitabu vya kiada na ziada vipo pia.

Uanachama ni kama ifuatavyo:
Watu wazima na wanafunzi wa vyuo ada yao kwa mwaka ni: 10,000/=
Wanafunzi wa sekondari ni: 7,000/= kwa mwaka
Wanafunzi wa msingi na chekechea ni: 5,000/= kwa mwaka
Temporary/kwa siku ni: 1,000/=

NB:
Kuna mafunzo ya kompyuta kwa wiki ambayo hutolewa bure kabisaaaa. Hii itawafaa sana kwa wale wana vikundi wanaotaka kujifunza kompyuta na wakimaliza mafunzo hupewa vyeti vya kuhitimu.





Karibuni sana.
MAKTABA KWA MAENDELEO YA JAMII
 

Attachments

  • IMG_20160901_151249.jpg
    IMG_20160901_151249.jpg
    285 KB · Views: 154
  • IMG_20160901_151300.jpg
    IMG_20160901_151300.jpg
    302.9 KB · Views: 145
  • IMG_20160901_151333.jpg
    IMG_20160901_151333.jpg
    321.8 KB · Views: 148
  • IMG_20160901_151349.jpg
    IMG_20160901_151349.jpg
    290.7 KB · Views: 141
  • IMG_20160901_151358.jpg
    IMG_20160901_151358.jpg
    275.9 KB · Views: 144
  • IMG_20160901_151405.jpg
    IMG_20160901_151405.jpg
    308.9 KB · Views: 135
  • IMG_20160901_151714.jpg
    IMG_20160901_151714.jpg
    209 KB · Views: 140
  • IMG_20160901_151722.jpg
    IMG_20160901_151722.jpg
    294.9 KB · Views: 141
  • IMG_20160901_151738.jpg
    IMG_20160901_151738.jpg
    393.5 KB · Views: 139
  • IMG_20160901_151746.jpg
    IMG_20160901_151746.jpg
    264.9 KB · Views: 138
  • IMG_20160901_151803.jpg
    IMG_20160901_151803.jpg
    284.2 KB · Views: 159
  • IMG_20160901_151815.jpg
    IMG_20160901_151815.jpg
    284.7 KB · Views: 134
  • IMG_20160901_151845.jpg
    IMG_20160901_151845.jpg
    252 KB · Views: 135
  • IMG_20160901_151903.jpg
    IMG_20160901_151903.jpg
    233.5 KB · Views: 133
  • IMG_20160901_151926.jpg
    IMG_20160901_151926.jpg
    298.4 KB · Views: 135
  • IMG_20160901_151934.jpg
    IMG_20160901_151934.jpg
    237.2 KB · Views: 137
  • IMG_20160901_152033.jpg
    IMG_20160901_152033.jpg
    279.9 KB · Views: 147
  • IMG_20160901_152048.jpg
    IMG_20160901_152048.jpg
    285.3 KB · Views: 129
  • IMG_20160901_152123.jpg
    IMG_20160901_152123.jpg
    321.3 KB · Views: 147
Wadau wa Maktaba,

Mnakaribishwa kutembelea Maktaba yetu ya Jijini Dar es Salaam kuanzia tarehe 1/9/2016 - 8/9/2016 ambapo kutakuwa na week ya kujisomea. Tuta-exhibit (onesha) vitabu mbalimbali, majarida, na magazeti ya kipindi cha nyuma mpaka sasa.

Je, ulishawah kusoma vitabu kama: Pesa zako zinanuka, Tutarudi na Roho zetu, Zawadi ya Ushindi n.k vipi kuhusu vitabu vya Mwl Nyerere, Katiba n.k

Karibu sana....
 
Wadau,

Mnakaribishwa kuja Maktaba Kuu ya Taifa iliyoko barabara ya Bibi Titi ili kujifunza mengi kupitia vitabu, majarida mbalimbali na magazeti ya tangu miaka ya 1920 mpaka leo hii.

Utamaduni wa kutumia Maktaba hususani kwa wakazi wa Dar ni mdogo mno, lakini hamjachelewa.

Kuna kitengo cha watoto ambapo kuna michezo mbalimbali kwa ajili yao na pia vitabu vizuri vya hadithi.

Kwa wanafunzi, vitabu vya kiada na ziada vipo pia.

Uanachama ni kama ifuatavyo:

Watu wazima na wanafunzi wa vyuo ada yao kwa mwaka ni: 10,000/=
Wanafunzi wa sekondari ni: 7,000/= kwa mwaka
Wanafunzi wa msingi na chekechea ni: 5,000/= kwa mwaka
Temporary/kwa siku ni: 1,000/=

NB:
Kuna mafunzo ya kompyuta kwa wiki ambayo hutolewa bure kabisaaaa. Hii itawafaa sana kwa wale wana vikundi wanaotaka kujifunza kompyuta na wakimaliza mafunzo hupewa vyeti vya kuhitimu.

Karibuni sana.

MAKTABA KWA MAENDELEO YA JAMII
Mjitahidi kuwa na vitabu vya kisiasa.
 
Wadau,

Mnakaribishwa kuja Maktaba Kuu ya Taifa iliyoko barabara ya Bibi Titi ili kujifunza mengi kupitia vitabu, majarida mbalimbali na magazeti ya tangu miaka ya 1920 mpaka leo hii.

Utamaduni wa kutumia Maktaba hususani kwa wakazi wa Dar ni mdogo mno, lakini hamjachelewa.

Kuna kitengo cha watoto ambapo kuna michezo mbalimbali kwa ajili yao na pia vitabu vizuri vya hadithi.

Kwa wanafunzi, vitabu vya kiada na ziada vipo pia.

Uanachama ni kama ifuatavyo:

Watu wazima na wanafunzi wa vyuo ada yao kwa mwaka ni: 10,000/=
Wanafunzi wa sekondari ni: 7,000/= kwa mwaka
Wanafunzi wa msingi na chekechea ni: 5,000/= kwa mwaka
Temporary/kwa siku ni: 1,000/=

NB:
Kuna mafunzo ya kompyuta kwa wiki ambayo hutolewa bure kabisaaaa. Hii itawafaa sana kwa wale wana vikundi wanaotaka kujifunza kompyuta na wakimaliza mafunzo hupewa vyeti vya kuhitimu.

Karibuni sana.

MAKTABA KWA MAENDELEO YA JAMII
Hayo mafunzo ya Kompyuta bure ni kwa wiki moja au kwa wiki mara moja.?
 
Shida maktaba ina mambo ya kizamani waingie ubia na sites kama AMAZONI watu wawe na uwezo wa kusoma vitabu online vitabu vya hard copies havina mvuto tena.
Duuuhh mkuu mi nazani hard copy kwenye vitabu kama vya novel ndo inanoga zaidi kuliko soft copy. Wacha nikalipe hiyo 10 yao niwe naenda kula novel maana nazinunua kwa bei mbaya sana madukani
 
Back
Top Bottom