Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,639
Pole kwa kulimwa kibuti mkuu, jaribu kutafuta type yako.Ninyi wadada mnaojiona ni warembo na mnavutia mnapopata wanaume wenye nia za kuwaowa mnawadampu na kuwachezea kama paka alieshiba xaxa anachezea paka eti kisa nyie ni warembo mnataka wanaume mahb tena unajiona warembo kwenye dressing table zenu za kichina vyumbani mwenu xaxa kwa namna hiyo labda muolewe na dressing table zenu unataka handsome jiulize baba yangu ni handsome mbona anaish vzur na mama
Kakugusa bst?
pole kwa kulimwa kibuti mkuu, jaribu kutafuta type yako.
hilo ndo jibu......,
tafuta swali
Nadhani itakuwa anaandika huku anajisaidia haja kubwa. Kwii kwiini bora ungeacha ile ile hapa maana yote ndo imeevaporate sasa
sio kukataliwa swala ni kwamba mnakubaliana afu anakuletea uzuri kwa kuwa anajitazama kwenye kioo na kujiona mzuri alaf analalamika hapati wa kumuoa wakati wanaume wa kweli anawapata na kuwachezea eti anataka handsome
kwa taaarifa yako siku hizi mwanaume haangaliwi sura
sura wont pay the bills
anaangaliwa focus katika maisha na mzogo anaopiga 6*6
kama huelewi lala
nadhani itakuwa anaandika huku anajisaidia haja kubwa. Kwii kwii
kwa lipi nilale mchana kweupe........
ndo vizuri afu popobawa anakutembelea kama rafiki yako vile
upo kidato cha ngapi??????
Ninyi wadada mnaojiona ni warembo na mnavutia mnapopata wanaume wenye nia za kuwaowa mnawadampu na kuwachezea kama paka alieshiba xaxa anachezea paka eti kisa nyie ni warembo mnataka wanaume mahb tena unajiona warembo kwenye dressing table zenu za kichina vyumbani mwenu xaxa kwa namna hiyo labda muolewe na dressing table zenu unataka handsome jiulize baba yangu ni handsome mbona anaish vzur na mama
hahaaaaa
kumbe ndo anachofanya.......,
ndo maana anaandika upuuzi tu
huyu ndo mkwe wake afu una tabia mbaya unampiga mkweo picha wakati anakunya co vizuri