hekimatele
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 9,884
- 2,781
Have u researched thoroughly? Sample space yako ikoje?
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Ninyi wadada mnaojiona ni warembo na mnavutia mnapopata wanaume wenye nia za kuwaowa mnawadampu na kuwachezea kama paka alieshiba xaxa anachezea paka eti kisa nyie ni warembo mnataka wanaume mahb tena unajiona warembo kwenye dressing table zenu za kichina vyumbani mwenu xaxa kwa namna hiyo labda muolewe na dressing table zenu unataka handsome jiulize baba yangu ni handsome mbona anaish vzur na mama
Ninyi wadada mnaojiona ni warembo na mnavutia mnapopata wanaume wenye nia za kuwaowa mnawadampu na kuwachezea kama paka alieshiba xaxa anachezea paka eti kisa nyie ni warembo mnataka wanaume mahb tena unajiona warembo kwenye dressing table zenu za kichina vyumbani mwenu xaxa kwa namna hiyo labda muolewe na dressing table zenu unataka handsome jiulize baba yangu ni handsome mbona anaish vzur na mama
Sio kila mwanamme atongozae basi ni wakuolewa naye!
Kama ulikataliwa basi ujue wee si type yake!!!!!
sikumbuki hata sekondari nimemaliza mwaka gani
Mkuu kama hukumbuki ulimaliza lini secondari halafu unaaandika kama kijana wa 95 nashindwa kuelewa.
daaah umeifanya siku yangu iwe nzuri leo,....nimemkumbuka mshua nikacheka sn.Ninyi wadada mnaojiona ni warembo na mnavutia mnapopata wanaume wenye nia za kuwaowa mnawadampu na kuwachezea kama paka alieshiba xaxa anachezea paka eti kisa nyie ni warembo mnataka wanaume mahb tena unajiona warembo kwenye dressing table zenu za kichina vyumbani mwenu xaxa kwa namna hiyo labda muolewe na dressing table zenu unataka handsome jiulize baba yangu ni handsome mbona anaish vzur na mama
na wewe anza kuringia u handsome wako
naona bado unaendelea kuandika ki-facebook. sio kwamba haujui kuandika neno kusoma, ni uandishi wa kipuuzi unaofanyika huko fb. vijana kama nyie hamuwez kuwa na character ya kuwa mume makini, ndo maana unatoswa. ( mnajiita wazee wa swaga, diamond and the like).mapenzi c uandishi mbona kuna waco jua kuxoma na wameowa wote ndio nyie mnaojiona wazuri kumbe mbululaz
what the heck!? Hawa ndio wale form 4 wa mulugo?
Hebu tuelezee jinsi ulivokuwa dumped labda tunaweza kukusaidia...Ninyi wadada mnaojiona ni warembo na mnavutia mnapopata wanaume wenye nia za kuwaowa mnawadampu na kuwachezea kama paka alieshiba xaxa anachezea paka eti kisa nyie ni warembo mnataka wanaume mahb tena unajiona warembo kwenye dressing table zenu za kichina vyumbani mwenu xaxa kwa namna hiyo labda muolewe na dressing table zenu unataka handsome jiulize baba yangu ni handsome mbona anaish vzur na mama
kwani kuna tofaut