Mnaionaje hii safu ya CHADEMA 2014-2019

Mnaionaje hii safu ya CHADEMA 2014-2019

Naunga mkono!!!Ila katiba inasemaje!!????Naomba ufafanuzi kwanza!!!Na kwa katibu mkuu napedekeza Lisssu!!!Katibu mkuu ndo mtendaji mkuu wa Chama!!Anatakiwa mtu jasiri sana mwenyekujiamini na awe tayari kwa lolote hata kisheria!!!Mwenye kuvaa viatu vya Dr!!!Kwa mwenyekiti sawa ila nahitaji mwongozo wa katiba

Katibu mkuu anapikana kwa mwenyekit kupebdekeza alaf baraza kuu lina hakiki kama yaliyomo yamo
 
dah mleta mada umejitaidi ila hapo Bawacha mimi kama mwana chaema sikuungi mkono hata kidogo Mdee hana uwezo kuwaongoza wanawake wa chadema na kuhamasisha wanawake wengine kujiunga na Chadema...Bawacha wanatakiwa wanawake makini kwani CCM mtaji wao mkubwa huko kwa wanawake sasa mdee hana mvuto huo wa kuendesha Bawacha hapo awekwe mama Naomi au Susan lyimo ndoo wanafaaa...
 
Naibu katibu mkuu lissu ? Hapana, apangwe mwingine, makamu mwenyekiti Bawacha apangwe Esther Wassira, makamu mwenyekiti Bavicha si lazima atoke Zanzibar, na bado wengine potential watajitokeza, tusubiri
 
cdm inahtaj mabadiliko kwenye nyadhfa za juu. Hao kina slaa wawekwe kando kwanza wameharibu chama
 
mtu kama ben saanane ana weza kuwa na cheche gani? ama ukakamavu wake uko wapi? kwenye keyboard za computers?
usiandike unaonekana unaiponda bavicha iliyopo ama bawacha tuukubaliane kwanza mabadiliko yatafanyika lakini si kwa watu kama ben saanane huyu hata ukimpeleka umwambie green guard wale pale ataacha vijana wamesimama akimbilie kusikojulikana
 
Katibu mkuu <strong><a href="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=32678" target="_blank">Tundu Lissu</a></strong>
<br>
<br>kwa maoni yangu, mwenyekiti awe dr slaa na katibu mkuu na kuunga mkono awe tundu lissu.<br>mbowe nafasi ya uwenyekiti yatosha ss...pia anatuhuma nyingi ni vema busara ikamuongoza kukaa pembeni.<br type="_moz">
 
Ingekuwa bora kujadiri sifa stahiki badala ya kutajataja majina. Viongozi waliopo sasa wapimwe kwa mafanikio yao; na wapiga kura wataamua kama kweli wanastahili kukipeleka chama mbele zaidi na kwenye ushindi
 
dah mleta mada umejitaidi ila hapo Bawacha mimi kama mwana chaema sikuungi mkono hata kidogo Mdee hana uwezo kuwaongoza wanawake wa chadema ......

Hizi ni campaign sasa. Ila ni haki yako kikatiba kutoa maoni yako
 
Mapendekezo yako si mabaya kwani huo ni mtazamo wa mtu, na hii inaonyesha jinsi CHADEMA ilivyo na rasilimali watu wa kutosha ndani ya chama, na hii inaonyesha ni jinsi gani Mbowe na Dr Slaa uongozi wao ulivyo thabiti na mafanikio makubwa katika kuliongoza jahazi, kwa mtazamo wangu, nafasi ya naibu katibu mkuu na makamu mwenyekiti, zinahitaji watu wafia chama watakaoongeza nguvu wakishirikiana na Mbowe na Dr Slaa tofauti na ilivyo sasa, hapa nafikili kwa nafasi ya naibu katibu mkuu watu kama kamanda Lema, kamanda Mnyika, kamanda Msigwa wanafaa kabisa, kwa Tundulisu nafikili uanasheria mkuu ni mahali pake, hakuna haja ya kumuongezea majukumu mengine, na ili tufike salama, Mbowe na Dr Slaa waendelee na nyadhifa zao, tusikubali kupangiwa uongozi na maccm wakishirikiana na msajili wa vyama, wao wanajua wanatuposha, kumbe wanazidi kutufumbua macho na kuuona uimara wa uongozi wao, kiongozi mzuri ni lazima achukiwe na maccm, kwa sababu wanashindwa kuwarubuni.
 
Siasa za Ukanda; naona uliopendekeza wanatoka kanda ya kaskazini (1) Mwenyekiti Freeman Mbowe (Kilimanjaro-kaskazin), Katibu Mkuu Dr. wilbroad Slaa (Manyara-Kaskazini), Habari nauenezi John Mnyika(Same-kaskazni). Halima Mdeekaskzini. Vipi kanda nyingine mfano kanda ya magharibi?? Kwa siasa hizi za Ukanda hamtafika kokote! Jisahihisheni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom