Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,330
- 17,857
Introduction: Ni kweli kila mtu ana mchango wake, kwa mfano mchango wa mwanakijiji sio sawa na mchango WoS wala UM wala sawa na wa Penny wala Superman. Hiyo ndio inaitwa diversity.
Results and Discussion: : Hayo ya kubeza umeyatoa wapi? eeh, kutunga, kama ninavyoheshimu mchango wako na wewe unavyoheshimu mchango wa wanaouliza maswali kila siku, wanaotoa ushauri, wanaotafuta habari na kubandika, basi heshimu mchango wangu wa kucriticise pale ninaweza na kutaka, okay lady? Ulichofanya hapo ni kunibeza!
Okay nikija kwenye point, Mwenye post 15,000 ni Mwanakijiji, right? Yeye anarepresent 0.009 % ya members wote, na mchango wake ni 3.16% ya post zote at the rate of 0.011 per year, sijapiga hesabu ya thread alizoanzisha, ameingia humu JF 2006.
WoS unarepresent 0.009 % ya members humu na mchango wako ni 0.46 % ya post zote at the rate of 0.015 per year na Uwiano Maalum hapa ninarepresent 0.009 % members humu na mchango wangu ni 0.18 % ya post zote at the rate of 0.01 per year. Mwanafalsafa1 ni katika members ambao wanarate ya juu ya kupost, 0.4 posts per year wkati mchango wake ni 10% ya mchango wa Mwanakijiji.
Tofatuti ya michango hapa JF imebase zaidi na tuliokuwemo humu JF, accessibility ya internet, tofauti ya majukumu ya kitaifa na kifamilia, priorities na maslahi.
Conclusion: Idadi ya post za mtu zinawiana zaidi na muda toka mmoja ajiunge na JF. Ukichukulia wastani wa kupost kwa mwaka, WoS uapost at high rate than mwenye post 15,000.
Hivyo basi WoS sikuwa nabeza bali ni fact kwamba kuwa na post 15,000 kunategemea na muda wa JF membership, na kwamba rate zinatofautiana za kupost inaweza kuwa ndogo japo una post nyingi.
good analysis mkuu UM, ila intro ungai expand kidogo ili iwemo na 'literature review', mf JF ilikotoka, asili ya memba wake etc lol