Bebii mjanja...Anataka kuwachunguza wakaka wa JF bila taarifa.Kwa picha atajua nani anaonekana vipi ...MVUTO MUHIMU.Kwa CV atajua nani amesoma mpaka daraja lipi...KISOMO MUHIMU na UMRI.Barua atajua uwezo wako wa kujieleza na experience....UJANJA MUHIMU.Akishajua hayo anarudi kwenye ile list ya waliotupa ndoano kuangalia nano anakidhi vigezo na nani hakidhi vigezo.LOLZ..