MMU’s JF Special

Hivi Asha, umenionea wapi Dena jamani.............?
hebu mwambie leo ni ijumaa, unaweza kuta amesahau huyo lol...


Dena alikua analinda uzi, si umeona quote yake pale....
Ngoja nimwite aje akuitikie hapa...lol
 
Huongei pumba... mimi nawe twakutana saana but katika threads si zangusikutaka kuchakachua threads bila ruhusa za wahusika...lolKatika uzi nilotoa hizo kuna post yako moja tu... na ningeweka hapa ungetafut kitufe cha DISLIKE hapa sasa hivi...lol
Teh! Teh! I Joke, mimi nitaandika topic za watu zilizobamba, ukweli nimependa hii cretivity yako, i realy appreciate it and i strongly agree that "this is special for us"
 
Teh! Teh! I Joke, mimi nitaandika topic za watu zilizobamba, ukweli nimependa hii cretivity yako, i realy appreciate it and i strongly agree that "this is special for us"


Zipo nzuri ila sema hujawahi changia saana kwangu mimi kuweza kupata quote
Kwanza nakumbuka juzi kati kuna uzi wako tulijadili saana ... sijui upi ila nakumbuka in the end
kama tulichakachua vile...lol


The Following User Says Thank You to Gagurito For This Useful Post:
Ashadii (Today)



 

AshaDii - Never get angry. Never make a threat. Reason with people
 
PA leo umeniweza lol!! nakosa hata cha kuongea ila nakutafutia dawa yako soon nitaipata?? Kaizer shouldn't know or see this post either lol!!!
 
Teh! "Nataka kulala" mkuu hii thread imetulia, next tym uthinithahau bhanaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…