MMU nimefiwa


Pole sana mdada!!
 
TULIZA MOYO tenda mema aliyokusihi TIME WAITS FOR NO ONE
 
nimechelewaaaa.. but BE STRONG Mrembo nature. Imeshatokea na hauwezi kuubadili ukweli. RIP mama.
 
Last edited by a moderator:

Pole sana Nicas Mtei ....
 
Last edited by a moderator:
Pole sana mkuu, sisi sote ni wa njia moja. Mbele yetu nyuma yake.
 
Pole mrembo, rip mama
Jamani asanteni
woote angalau najiona wepesi kidogo, huyu ni kama mama yangu mzazi,
imeniuma sana siwezi elezea kushindwa kuwepo na kumfariji rafiki yangu
mpendwa na kipindi hiki kigumu cha msiba wa mama.
 
Pole sana kwa msiba huo mkubwa. Mungu awepo moyo mkuu na uvumilivu kipindi hiki kigumu

Faraja: Kwa kuwa wa kukuzika bado yeye yuko hai, usiumie sana. Jipe moyo, urafiki wenu bado utaendelea kudumu
 
Pole Nicas na wafiwa wote. Mungu alitoa na ametwaa Jina lake libarikiwe

 
pole sana Mrembo by Nature
tulio waamini hatulii kama wasio amini!
sawa mamii!muombee!
 
Last edited by a moderator:
Nataka nikutumie rambi rambi itafikaje?
 
Kwa Mara nyingine tena nawashukuru kwa faraja mnayoendelea kunipatia, binafsi najua ni namna gani mmekuwa na mguso moyoni mwangu!mbarikiwe sana wote....nimeshindwa kutaja mmoja mmoja na kujibu! mazishi yalifanyika Same mashariki Jana! Tuzidi kuiombea hii familia na Baba ambae sasa ni mgane.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…