Ina maana nameless girl nae ni wa huyu jamaa?????[/QUOTE]Ndio hivyo tena wanaitana mama na baba Gati. Nina wasiwasi huyu jamaa ndiye alinivunjia ndoa.
J.lee kazaa na Molembe? aisee mbona sielewi?
nameless girl hebu ruka huku mamii! kuna love story inaendelea.. uje kabisa tuisome pamoja!
kijana inaonekana uko kwenye wanzuki kama sio rubisi..
J.lee kulaleki na lile ta.ko lake yuko na jamaa moja inaitwa Exceptional! sio Molembe!
labda km keshachepuka kwa mara ya saba tena!
Achana na huyo bongofleva Exceptional. Molembe nae kanichapia.
Napata chui baridi hapa kona. Hata hivyo najitahidi sana kuandika kiswahili safaha..
Sasa hivi kawa mdada haswaa. Anajua kila kitu mpaka kumeza nanii anaweza.
Unataka niachwe sasa kuleta siri za chumbani hapa. Hahahahaa.
Tena kwakunipatia Binamu lete Kama ile ulonipa wakati wa Eid sijui ulijuaje Kama napenda Gold,sasa baada ya Vikuku Mara hii lete ya shingoo....
aisee nimewamiss sana my old friends!
Angelicious! where are yu?
nipo my X Excel mzima lakini wewe? kumbe hii thread bado ipo?
mweee!!! ulinitenda.....karoho bado kanauma kwa mbali mana nami moyo ulikudondokeaga
Dah! Yani sijui shetani gani alipita kati yetu!
Hivi kwanini tusikumbushiane enzi zale swetieeee!
mweee!!! ulinitenda.....karoho bado kanauma kwa mbali mana nami moyo ulikudondokeaga
Tena kwakunipatia Binamu lete Kama ile ulonipa wakati wa Eid sijui ulijuaje Kama napenda Gold,sasa baada ya Vikuku Mara hii lete ya shingoo....
Asante kwa kuja binamu yangu angalau sasa napumua.
Nimebadili mawazo zawadi yako nitakuletea mwenyewe huyu Mswati Excel sina imani nae.
Ha!ha!ha!haaa.. Nakumbuka enzi zile ulivyokataa propozo yangu kisa huyu Excel... Ona sasa.!
jamai kuna nini humu?...:biggrin1::mod::majani7: ndo nafika!! hahahaaaa!!
jamai kuna nini humu?...:biggrin1::mod::majani7: ndo nafika!! hahahaaaa!!