MMU Fursa BET

eeeeh maana mi sing'ati kucha nakutazama macho makavuuuuuuuuu
miss neddy bana sio vizuri! hata kama tuna confidence ya face to face, sio kila kitu turopoke!

kuna baadhi ya maneno inabidi yaingie mdogo mdogo!! yani hadi unasinzia mwenyewe!!

come here miss!!
 
Last edited by a moderator:
kasema hasomi primary wala sec
atakuwa yuko chuo uburudishaji kwa mababu kama wewe

hahaha haya miss nedy msemaji/meneja/ katibu wng nakuona juhudi zako maa ntakuongeza mshahara
 
miss neddy bana sio vizuri! hata kama tuna confidence ya face to face, sio kila kitu turopoke!

kuna baadhi ya maneno inabidi yaingie mdogo mdogo!! yani hadi unasinzia mwenyewe!!

come here miss!!

hahahahahahaha unazani nasinziaga labda upepo wa msimbazi unipulize pulize naliwazika
 
Last edited by a moderator:
hahaha haya miss nedy msemaji/meneja/ katibu wng nakuona juhudi zako maa ntakuongeza mshahara

yap we ukipewa hela na vibabu unaleta nikuwekeee sawa mtoto mzuri eeeeh sema tawile
 
Kuna nini hapa, hebu nipe muhtasari chapchap sana.

babu babuaa Asprin dogo kazimika na wewe bhana nkaona si mbaya nkakutonya kikongwe wangu kizuri kula na babuyo haya ushndwe mwnyw.
 
Last edited by a moderator:
mango g ndo nini unanifanyia jamani aaaaaaaaah! Achana na babu Asprin hana nguvu za kutosha,kumbuka mie kijana mwenzio nina kasi ya kufa mtu
 
Last edited by a moderator:
mango g ndo nini unanifanyia jamani aaaaaaaaah! Achana na babu Asprin hana nguvu za kutosha,kumbuka mie kijana mwenzio nina kasi ya kufa mtu

hapa tunaangalia fursa wewe kama una kasi sana nenda katutoe kimasomaso olimpic
 
Last edited by a moderator:
mango g ndo nini unanifanyia jamani aaaaaaaaah! Achana na babu Asprin hana nguvu za kutosha,kumbuka mie kijana mwenzio nina kasi ya kufa mtu

labda anapenda mechi za taratibu? Jipu lenyewe linachukua muda kuiva,,,,,,,hahaha Asprin njoo pande hii
 
Last edited by a moderator:

Kikosi kimekamilika huyu Serengeti girl hawezi kutoka
 
mango g ndo nini unanifanyia jamani aaaaaaaaah! Achana na babu Asprin hana nguvu za kutosha,kumbuka mie kijana mwenzio nina kasi ya kufa mtu

nakuogopa! segere kani2ma nikuogope
 
Last edited by a moderator:
hahahahahahaha unazani nasinziaga labda upepo wa msimbazi unipulize pulize naliwazika

hivi umeona kile kiua nilichokutumia??

afu huu ndo muda wa kutoana baridi miss!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…