toka hapa!!
we nae ndo wale wale tu!
yani unammention mke wa mwanaume mwenzio kwa ufasaha namna hii?
:A S 13::A S 13::A S 13: ama kweli sikuwa mwenyewe!
guys niko tayari kwenda keko kwa muda! ntang'oa mtu mapu.mbu leo!
Angelicious, angalia ypou may be in for a rough ride, njoo ufanyiwe maombi parokiani
cc Eiyer mwallu Excel
mwallu, huyu kaamka na hnagover za Man city kufungwa jana.. Angelicious tumwite kundini, na huyo tenchy piawe mr lover lover mbona ivo?
af mkeo mvumilivu sana..na adumu katika maoimbi maana....
mwallu, huyu kaamka na hnagover za Man city kufungwa jana.. Angelicious tumwite kundini, na huyo tenchy pia
hehehehehe...unavojua kuandika jina la DEMBA na vichuna wengine humu waumini halali kabisa unaona sifa eeh//
#kuchapiwanisiriyaNDANI :israel::israel:
Excel jamaa yangu wewe bwana nasisitiza uumungwana sana....waione Eiyer, Angelicious, Window7, mwallu, Husninyo, DEMBA, J.lee, mango g, mwekundu, Mashaxizo, Mtambuzi, Nicas Mtei, lara 1, miss neddy, kiwatengu, KOKUTONA, Heaven on Earth, watu8, charminglady, ladyfurahia (pole sana kwa kupigwa ban dadaangu), measkron, Eli79, Ruttashobolwa, kabanga, karucee, Asprin, Arushaone, Lady doctor, Passion Lady na wengineo watakaoingia hapa bila kutoa comment!!
jamani huyu nae yumo kwenye kundi la mabazazi! anatumia mwamvuli tu jamani!!
mimi nimeokoka kwa muda! ahsanteni!
nimefunga box la PM kwa muda... tutaonana jamani wadau wa MMU!
nawapenda wote!!
Angelicious na tenchy please noteivi ana shabikia man city ee?..pole yake
hao wajaze tu form waingie moja kwa moja
Excel jamaa yangu wewe bwana nasisitiza uumungwana sana....
Ha ha ha asante Demba n cpendi waume za watu hvyo ucjal
ahsante kabanga! huyu paroko bazazi kaja waziwazi na kumzoa @tinchy!
basi wamedanganyana na kidem chake mwallu wanafarijiana...! naona wako na my hubby Angelicious...
niko tayari kumwaga damu.... a man dies once as he was born like that.. siogopi parokia, ngoja wajikusanye tu!
ahsante kabanga! huyu paroko bazazi kaja waziwazi na kumzoa @tinchy!
basi wamedanganyana na kidem chake mwallu wanafarijiana...! naona wako na my hubby Angelicious...
niko tayari kumwaga damu.... a man dies once as he was born like that.. siogopi parokia, ngoja wajikusanye tu!
ikiwa vipi niite, maana mimi napenda ugomvi.....ahsante kabanga! huyu paroko bazazi kaja waziwazi na kumzoa @tinchy!
basi wamedanganyana na kidem chake mwallu wanafarijiana...! naona wako na my hubby Angelicious...
niko tayari kumwaga damu.... a man dies once as he was born like that.. siogopi parokia, ngoja wajikusanye tu!