MMU Fursa BET

Shemeji hakujui huyu. Ila
imekuaje ukampa fursa babu Asprin bila kunihakikishia ndoa kwa under
20?

eh!shemeji ukiona manyoya ujue kashaliwa kanishinda mie beibi wako ngoja ntengeneze yangu.
 
eh!shemeji ukiona manyoya ujue kashaliwa kanishinda mie beibi wako ngoja ntengeneze yangu.

Shemeji babu Asprin kakuchanganya kweli. Na kale kazawadi kako nakarudisha kabatini
 

natumai hii mistari haitamfikia mango g
 

Ila nimejikuta nakapenda tu.
 
bebi windo njoo uone excel ananionea...

Nimemuona bebi. We niachie huyu kuna kabastola nimekanunua hakajipga hata shot 3 katahusika akiendelea kukuudhi dia wangu.

Njoo pm basi diha tufanye mipango ya ndoa.
 
Nimemuona bebi. We niachie huyu kuna kabastola nimekanunua hakajipga hata shot 3 katahusika akiendelea kukuudhi dia wangu.

Njoo pm basi diha tufanye mipango ya ndoa.

hahahaha naogopa diha
 
Shemeji babu Asprin kakuchanganya kweli. Na kale kazawadi kako nakarudisha kabatini

shemeji zawad we nigaie 2 nimefanya fanya kaz kidogo kuitwa beb,hani si mchezo ujue we dhan masihara 2.
 
shemeji zawad we nigaie 2 nimefanya fanya kaz kidogo kuitwa beb,hani si mchezo ujue we dhan masihara 2.

Kidogo unanishawishi. Fanya mpango basi akubali tutangaze ndoa.
 
haijanifikia mpnz wng kwanza hta cjaelewa katoka wapi na mihogo yake akati wenzie twala pilau

Ha!ha!ha!ha.. Hajui utumbo wako haupitishi mihogo bebi. Ashindwe kabisa huyu
 
ha!ha!haa na watuache movie iendelee Asprin wangu.

Naam, watuwache mimi na wewe tule vyetu kwa raha zetu. Wenye wivu wameze viwembe.

Nakupenda sana J.lee wangu. Ulale unono eh *****.
 
Last edited by a moderator:
Naam, watuwache mimi na wewe tule vyetu kwa raha zetu. Wenye wivu wameze viwembe.

Nakupenda sana J.lee wangu. Ulale unono eh *****.

mh!nakupenda pia Asprin wangu jaman nawe ulale salama ila hyo ***** mh!ngastuka maana we nae una mambo.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…