pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,038
- 5,259
Poleni sana wafiwa,
Mungu na awafariji
Mungu na awafariji
Sio kwa kusifia huku. Badala ukomae na masomo. Wewe unakumbuka majina ya mabasi Form 4 matokeo yalikuaje? Tuanzie hapo.Daah! Wakati nakwenda Mbeya kuanza form one, nilipanda bus la Sumry. Daima tutamkumbuka.
Tukae mbali na matapeli.I did not know that when we last met in December, had a chat on a number of issues, kumbe tulikuwa tunaagana. RIP HUMUD
Ni kweli walivyotambu humu eti jpm kafa kwa corona, wengine wakafanya sherehe kabisa as if walinua kifo chakeMgongo wa korona unafanya mengi
One thing I like about JF, is that, there are some idiots who believe that some of us are paupers, I am completely different my friend.Tukae mbali na matapeli.
Hii comment kuna watu watapigwa
Ila Sumry aliwavumilia sana watanzania aliowaajiri kwenye mabasi. Yani walikuwa wanamuibia sana. Acheni tu Mo awe mkali mmatumbi ukimchekea chekea mmatumbi akikuzoea anakurukia hadi mabegani.
Pengine Vibopa ndo wanaotangazwaHivi kwa nini mkuu hiyo uviko inawaonea sana vibopa,au ina wivu nao,mbona makondakta wa mabasi kila siku wapo kwenye risk hatujawahi kuhudhuria mazishi yao kwa vifo vilivyosababishwa na changamoto??
Which is never common and lovedDeath is a common visitor
Halafu unakufa unajiona na huna la kufanya licha ya walinzi wengi kama mifugo ya ng'ombe!Na ulinzi wa mabunduki na Gari la kukata mawasiliano sijui kitu gan
Kwani ukichanja ndio hautakufa?Mbona huyu mzee alichanja London mapema kabisa?
Aisee inawezekana kabisa mkuuWanatembea kwa magari,,hawana mazoezi,wengi wako affected na sukari na Bp
Okay,naanza kupata picha mkulungwaUngeujua uviko19 vizuri usingeuliza hilo swali mkuu....Ushasema vipoba nenda kaangalie vibopa wanakuwa na issue gani au magonjwa gani ,kisha pitia uviko inapendelea kupiga wapi au watu gani wapo vulnerable na uviko.
Sure mwambaUmri mkuu,makonda wengi bado wana nguvu,pili hata kama wanakufa huwezi kujua,Sumri hata kama humjui ukitajiwa kwamba ni mmiliki wa yale mabasi inamtambulisha
Ubaya wa kifo, uogope ama usiogope kipo pale pale.Naogopa sana sekunde za mwisho mwisho kuaga dunia. Sijui kuna nini huko?
RIP mkuu.