Habri niliyoipata hivi punde nikiwa mjini Iringa ni kuwa askari mmoja kati ya sita waliokamatwa amefikishwa mahakamani,ni yule aliyefyatua bomu.Wengine watano ambao nao walimpa kipondo marehemu wameachiwa.
Hii inatokana na maombi ya mtuhumiwa mwenyewe kuwa yeye ndiye aliyeua na wengine waachiwe.Kutokana na ombi ilo alipelekwa kwa mlinzi wa amani Ijumaa na confession yake kuchukuliwa na mlinzi wa amani.Leo hii kapelekwa mahakamani.
Wadau tisijadili ili suala kwani tayari liko mahakamani, lakini naona haki haijatendeka inabidi na hao watano na RPC wao nao washitakiwe.
Hii inatokana na maombi ya mtuhumiwa mwenyewe kuwa yeye ndiye aliyeua na wengine waachiwe.Kutokana na ombi ilo alipelekwa kwa mlinzi wa amani Ijumaa na confession yake kuchukuliwa na mlinzi wa amani.Leo hii kapelekwa mahakamani.
Wadau tisijadili ili suala kwani tayari liko mahakamani, lakini naona haki haijatendeka inabidi na hao watano na RPC wao nao washitakiwe.