Mmoja wa polisi waliouwa afikishwa mahakamani leo

Ki ukweli RPC ndie mwenye makosa hasa kwa vile tukio lilitokea machoni kwake. FUKUZA huyu bwana!
 
lakini tunaambiwa huyu jamaa alipelekwa kwa mlinzi wa amani since last week kwa mahojiano, na leo ndo tunaambiwa kapelekwa mahakamani, so unataka kusema kuwa huyu jamaa alipelekwa kwa huyo hakimu last week kwa mahojiano??? Ina maana nowdays watuhumiwa wanapelekwa kwa mahakimu kwa mahojiano.
Bado swali halijajibiwa hapa, huyu mlinzi wa amani ni mdudu gani????

nafikiri ni maandalizi ya kuwaachia huru kama walivyoachiwa kina zombe na kundi kake
 
aliyeua ni hao pamoja na aliyewatuma kuua, tena huyu mtoa amri ndi akamatwe haraka na kuhukumiwa.
 
Hapana kwa sasa sina ugomvi na Bwana Alfani, ni rafiki yangu sana si unajua tulicheza wote enzi zetu zileee but huyu shetwaini wa Iringa
What do u mean? Unamuhitaji baba Mwanaisha, naye apelekwe, kizimbani??!!
 
Do the State Attorney in charge of Iringa and the Prosecutors know 'the doctrine of common intention?' Under the doctrine all police officers present at the scene when Mwangosi was killed should have been charged for murder and conspiracy to commit an offence ie murder. Even if the 'accused' confessed, all evidences, photos and testimonies of people present show that other police officers were beating Mwangosi shortly before he was killed, in fact the RPC consented as he did not stoped the beating. To let other police officers walk free without charging them even for causing grievous bodily harm is a mockery to the family of the deceased, general public and to the legal profession.
 
Habri niliyoipata hivi punde nikiwa mjini Iringa ni kuwa askari mmoja kati ya sita waliokamatwa amefikishwa mahakamani,ni yule aliyefyatua bomu.Wengine watano ambao nao walimpa kipondo marehemu wameachiwa.

Hii inatokana na maombi ya mtuhumiwa mwenyewe kuwa yeye ndiye aliyeua na wengine waachiwe.Kutokana na ombi ilo alipelekwa kwa mlinzi wa amani Ijumaa na confession yake kuchukuliwa na mlinzi wa amani.Leo hii kapelekwa mahakamani.

Wadau tisijadili ili suala kwani tayari liko mahakamani, lakini naona haki haijatendeka inabidi na hao watano na RPC wao nao washitakiwe.
[Kama kweli amefikishwa mahakamani itakuwa ni picha nyingine kama ile Kova alioandaa ya Mkenja aliyemshambulia Ulimboka, Ujue wanataka kutumia kichaka cha mahakama kuzuia mjadala wa mauaji ya mwaandishi Mwangosi kama kawaida yao]
 
taarifa ya daktari inaeleza nini chanzo cha kifo cha marehemu??.......Je mashtaka yanaendana nayo?? au tunapiga siasa huku tunasubiri kesi ifutwe ndiyo tuanze kutoa malalamiko???
 
Hapa tusubiri, tutaona burudani na jinsi wanavyoendelea kujichanganya. Aliyepeleka shitaka mahakamani ni nani? anamshataki nani? na mwendesha mashitaki ni nani? na ambaye anaendelea na upelelezi ni nani? Jibu la maswali yote hayo ni mona POLISI. Even a kangoloo court is better off. Afadhali na kesi ya mbuzi umpelekee chui ili kutofautisha nani ni nani katika mfumo wa haki. This is sheer studity and nothing less or more
 
Habri niliyoipata hivi punde nikiwa mjini Iringa ni kuwa askari mmoja kati ya sita waliokamatwa amefikishwa mahakamani,ni yule aliyefyatua bomu.Wengine watano ambao nao walimpa kipondo marehemu wameachiwa.

Hii inatokana na maombi ya mtuhumiwa mwenyewe kuwa yeye ndiye aliyeua na wengine waachiwe.Kutokana na ombi ilo alipelekwa kwa mlinzi wa amani Ijumaa na confession yake kuchukuliwa na mlinzi wa amani.Leo hii kapelekwa mahakamani.

Wadau tisijadili ili suala kwani tayari liko mahakamani, lakini naona haki haijatendeka inabidi na hao watano na RPC wao nao washitakiwe.

ukimuona mtu ananyolewa basi hapendi KUSUKA
 
Habri niliyoipata hivi punde nikiwa mjini Iringa ni kuwa askari mmoja kati ya sita waliokamatwa amefikishwa mahakamani,ni yule aliyefyatua bomu.Wengine watano ambao nao walimpa kipondo marehemu wameachiwa.

Hii inatokana na maombi ya mtuhumiwa mwenyewe kuwa yeye ndiye aliyeua na wengine waachiwe.Kutokana na ombi ilo alipelekwa kwa mlinzi wa amani Ijumaa na confession yake kuchukuliwa na mlinzi wa amani.Leo hii kapelekwa mahakamani.

Wadau tisijadili ili suala kwani tayari liko mahakamani, lakini naona haki haijatendeka inabidi na hao watano na RPC wao nao washitakiwe.
Mmmh?ivi watuhumiwa katika kesi huachiwa baada ya mwenzao kukiri uhalifu au huachiwa kama mahakama ikichunguza na kugundua hawana makosa??embu wanasheria tusaidieni hapo!!!
 
Habri niliyoipata hivi punde nikiwa mjini Iringa ni kuwa askari mmoja kati ya sita waliokamatwa amefikishwa mahakamani,ni yule aliyefyatua bomu.Wengine watano ambao nao walimpa kipondo marehemu wameachiwa.

Hii inatokana na maombi ya mtuhumiwa mwenyewe kuwa yeye ndiye aliyeua na wengine waachiwe.Kutokana na ombi ilo alipelekwa kwa mlinzi wa amani Ijumaa na confession yake kuchukuliwa na mlinzi wa amani.Leo hii kapelekwa mahakamani.

Wadau tisijadili ili suala kwani tayari liko mahakamani, lakini naona haki haijatendeka inabidi na hao watano na RPC wao nao washitakiwe.

hajakutwa akitubu.
 
Back
Top Bottom