Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,042
- 69,498
Kweli mkuu watoto wakali bila pesa utaishia kula kwa macho tu..acha mzee ajilie
Opoa na ww , kama unazoWanatupokonya watoto wazuri
Sijathibitisha bado lkn kwa nilivyosikia ni kwamba, yule jamaa aliyeingia uwanjani na kumkumbatia Wayne Rooney, hadi leo amekataa kuoga, sasa hivi watu wanamkumbatia yeye na wanamlipa buku 1.
Nilikwambiaje siku ile ukabisha?Pesa
Pesa
Pesa
Pesa
Acha uongo rafikiLove doesn't ask why.
love thé love or hâte thé love.....
Mkuu hili jiwe sasaSijathibitisha bado lkn kwa nilivyosikia ni kwamba, yule jamaa aliyeingia uwanjani na kumkumbatia Wayne Rooney, hadi leo amekataa kuoga, sasa hivi watu wanamkumbatia yeye na wanamlipa buku 1.
Hata Adamu alikuwa na kila kitu ndio akaumbiwa Hawa.Emmyta unajua kuwaoa nyie tupo tayari ila sasa nyie mnataka mabwana wenye kila kitu ndani ndio shida hapo sasa
Mi nitakupaPesa
Pesa
Pesa
Pesa
nmesahau?Nilikwambiaje siku ile ukabisha?
Kwa ajili ya nini?Mi nitakupa
Maziwa
Maembe
Machenza
Ndim
Ndizi na miwa