Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 153,186
- 454,569
Me huko sipo me muhenga mkuu ila we pambana tu na hali yako ili uishi kwa amaniha ha ha Shunie na wewe ni mdau wa mambo hayo
Me huko sipo me muhenga mkuu ila we pambana tu na hali yako ili uishi kwa amaniha ha ha Shunie na wewe ni mdau wa mambo hayo
ha ha ha smart ila kuna kaukweli hapaHuyo babu nae alikuwa kama wewe enzi anazitafuta hizo pesa...
Mpaka kuzipata ubabu ushamfika afanyaje sasa... Mwacheni ajilie...
Hata wewe mtoa mada usipotumia ujana wako vizuri kwa kutegemea mpaka siku utakapozipata utakuwa kama huyo unayemuita babu sasa hivi...
Japo maisha siyo kutesa kila siku, pesa ndiyo kila kitu...
Cc: mahondaw
Kila kitu ndani ukimaanisha nini mkuu?Emmyta unajua kuwaoa nyie tupo tayari ila sasa nyie mnataka mabwana wenye kila kitu ndani ndio shida hapo sasa
Ndio tunazitafuteInna tusipende pesa bwana hatukuzaliwa nazo
Habari wanajamii forum,hope ni wazima
Leo nataka niwahamasishe wanaume wenzangu tutafute pesa maana kuna ndoa nimeishuhudia hapana kwa kweli.Yaani binti kaolewa na babu yake sio baba ila sema huyo babu ana pesa sana sasa binti naye anajinadi kwa watu kwamba wanapendana sana na huyo babu,lakini mimi hapana haijaniingia akilini kabisa,yaani mdada mzuri unaolewa na mtu karibu na baba yake hivi hata story mnapigaje yaani huoni aibu hata kupiga stori romantic na mtu kama mzazi wako.......Hapana jamani hata kama mapenzi hayachagui umri,lakini mapenzi matamu ni ya kwa vijana kwa vijana
Haya wanaume wenzangu tukomae maana hawa watoto wazuri kila siku wanachukuliwa na wenye fedha zao,na nyie vibabu acheni mambo yenu ya kuwalaghai watoto wazuri kwa pesa zenu mnajua hampendwi wanazipenda hizo pesa zenu tu????
Wasaalamu
Shune mbabu mhenga wako hajamboPole mkuu pambana na hali yako tu
Hajambo kaka angu unaendeleaje lakinuShune mbabu mhenga wako hajambo
germve himself
Bado nna hasira na niliyoyasikia siku ile...yaani dadangu anapigwa sound mbele yangu...natafuta manati nzuri nimeangalia ubungo mataa siku hizi hawaziuziHajambo kaka angu unaendeleaje lakinu
Dah Ila kweli apambane asije kufika uzeen ndio aoeKweli sumbai ujue
EwaaaaaDah Ila kweli apambane asije kufika uzeen ndio aoe
Ahhahah kaka vumilia tu mwenye dada hakosi shemeji ujueBado nna hasira na niliyoyasikia siku ile...yaani dadangu anapigwa sound mbele yangu...natafuta manati nzuri nimeangalia ubungo mataa siku hizi hawaziuzi
germve himself
Najuta mbona Mimi Dada zao wananipiga vibuti...kama vipi komaa tuu na mhenga kunipunguzia wivu kidogo...ntakua namuona kama babu yetu mengine wala hatanisijueAhhahah kaka vumilia tu mwenye dada hakosi shemeji ujue
Ha ha ha kwa hali hii tutafika kweliMkuu ktk utafutaji tafuta mtu mwenye thamani kuanzia status mpaka jina, mtu asiyekuwa na njaa, mtu asiyekuwa na upendo kwa sababu ya kitu fulani namaanisha mtu aliyejitosheleza nyanja zote , kiuchumi , kijamii, kisiasa ,ki maadili n.k,
Mtoto kama rubii wa jf jina lenyewe tu la thamani , ahana na hao wapenda pesa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanatupokonya watoto wazuriWewe kinakuuma nini, kwani siwamependana wenyewe, au wewe ulitakeje?