Mmmh...wanawake mmezidi sasa

Huyo babu nae alikuwa kama wewe enzi anazitafuta hizo pesa...

Mpaka kuzipata ubabu ushamfika afanyaje sasa... Mwacheni ajilie...

Hata wewe mtoa mada usipotumia ujana wako vizuri kwa kutegemea mpaka siku utakapozipata utakuwa kama huyo unayemuita babu sasa hivi...

Japo maisha siyo kutesa kila siku, pesa ndiyo kila kitu...


Cc: mahondaw
ha ha ha smart ila kuna kaukweli hapa
 
wanaume tumeubwa mateso mateso kuangaika .
ngoja tupambane maana BAHATI ni neno jingine tu linalomaanisha JUHUDI
 
Habari wanajamii forum,hope ni wazima
Leo nataka niwahamasishe wanaume wenzangu tutafute pesa maana kuna ndoa nimeishuhudia hapana kwa kweli.Yaani binti kaolewa na babu yake sio baba ila sema huyo babu ana pesa sana sasa binti naye anajinadi kwa watu kwamba wanapendana sana na huyo babu,lakini mimi hapana haijaniingia akilini kabisa,yaani mdada mzuri unaolewa na mtu karibu na baba yake hivi hata story mnapigaje yaani huoni aibu hata kupiga stori romantic na mtu kama mzazi wako.......Hapana jamani hata kama mapenzi hayachagui umri,lakini mapenzi matamu ni ya kwa vijana kwa vijana
Haya wanaume wenzangu tukomae maana hawa watoto wazuri kila siku wanachukuliwa na wenye fedha zao,na nyie vibabu acheni mambo yenu ya kuwalaghai watoto wazuri kwa pesa zenu mnajua hampendwi wanazipenda hizo pesa zenu tu????
Wasaalamu

Kama Wewe ni ' Mwanaume ' basi lazima tu utakuwa na ' Umama Umama ' mwingi. Punguza ' Wivu ' wa ' Kike Kike ' kwani huyo Mzee au hao Wazee wamekuambia ' Mikuyenge ' yao ' haikojoi ' mbele ya ' Mbunye ' za hao Mabinti wadogo wanaowabandua?
 
Hajambo kaka angu unaendeleaje lakinu
Bado nna hasira na niliyoyasikia siku ile...yaani dadangu anapigwa sound mbele yangu...natafuta manati nzuri nimeangalia ubungo mataa siku hizi hawaziuzi

germve himself
 
Mkuu ktk utafutaji tafuta mtu mwenye thamani kuanzia status mpaka jina, mtu asiyekuwa na njaa, mtu asiyekuwa na upendo kwa sababu ya kitu fulani namaanisha mtu aliyejitosheleza nyanja zote , kiuchumi , kijamii, kisiasa ,ki maadili n.k,

Mtoto kama rubii wa jf jina lenyewe tu la thamani , ahana na hao wapenda pesa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bado nna hasira na niliyoyasikia siku ile...yaani dadangu anapigwa sound mbele yangu...natafuta manati nzuri nimeangalia ubungo mataa siku hizi hawaziuzi

germve himself
Ahhahah kaka vumilia tu mwenye dada hakosi shemeji ujue
 
Ahhahah kaka vumilia tu mwenye dada hakosi shemeji ujue
Najuta mbona Mimi Dada zao wananipiga vibuti...kama vipi komaa tuu na mhenga kunipunguzia wivu kidogo...ntakua namuona kama babu yetu mengine wala hatanisijue

germve himself
 
Wewe kinakuuma nini, kwani siwamependana wenyewe, au wewe ulitakeje?
 
Mkuu ktk utafutaji tafuta mtu mwenye thamani kuanzia status mpaka jina, mtu asiyekuwa na njaa, mtu asiyekuwa na upendo kwa sababu ya kitu fulani namaanisha mtu aliyejitosheleza nyanja zote , kiuchumi , kijamii, kisiasa ,ki maadili n.k,

Mtoto kama rubii wa jf jina lenyewe tu la thamani , ahana na hao wapenda pesa

Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha kwa hali hii tutafika kweli
 
wale wanaijiita Chama cha maBoyfriend Wasumbufu Tanzania(CHABOWATA) na kauli mbiu yenu ya Ntakuoa mwakani mje mshuhudie huku wenzenu wanaolewa na babu zenu huku....sasa nyie endeleeni tu na msimamo wenu

I BLNG 2 JESUS CHRST
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom