Mmmh.. Huu ndo mchezo gani?...

Spear_

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2010
Posts
1,828
Reaction score
1,318


Hawa jamaa hilo kombe wamepewa baada ya kushinda mchezo gani?.......
 
ha ha ha haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.....i think ni mchezo wa kupima dawa ya babu...!
 
nadhani ni mchezo wa kuogelea maana naona bahari kwa nyma hapa.
 
ha ha ha haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.....i think ni mchezo wa kupima dawa ya babu...!

mkuu unakipaji......!! nimecheka sana.. sikufikiri ningeweza kupata jibu la namna hii... Brilliant....
 
khaa apo ukute jinsia ya kike ndo inapiga picha...atajuta
 
JF forum, wekeni namna ya kurekodi vicheko, nimecheka mno kwakweli. Ha ha ha hi hi hi hi!
 
hahaaa!nimecheka sana kwa kweli,hapo ndio huwa nachanganyikiwa watu wanavyofikiri na kutoa majibu ambayo hata huwezitarajia.Kwa kweli binadamu tuna vipaji.
 
assalaaaaaleee!! Tuanzishe yetu TZ lakini yawe ya mab***a. Ushindi la lazima au mnaonaje???
 
Hiyo siyo kweli ni lazima kuna uchakachuaji tu? Yaani vitu viwe vimesimaa vyote halafu ni kama urefu unafanana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…