mjunguonline
Member
- Mar 10, 2011
- 73
- 5
Saif al-Adel, ambaye aliwahi kuwa afsa mwanajeshi wa kikosi maalum katika jeshi la Misri, anasemekana kuwa kwa sasa ndiye aliyechukua nafasi ya Osama bin Laden, ambaye aliuawa na jeshi la Marekani hivi karibuni
huko Pakistana.
Saif anakuwa kiongozi 'mlezi' wa al-Qaeda wakati pakisubiriwa mtu wa kumrithi Bin Laden.
Habari hizi zilikifikia kituo cha luninga cha CNN baada ya aliyewahi kuwa kiongozi wa al-Qaeda huko Libya kuwadokezea.
huko Pakistana.
Saif anakuwa kiongozi 'mlezi' wa al-Qaeda wakati pakisubiriwa mtu wa kumrithi Bin Laden.
Habari hizi zilikifikia kituo cha luninga cha CNN baada ya aliyewahi kuwa kiongozi wa al-Qaeda huko Libya kuwadokezea.