vijana wengi wa mbeya hususan wa tukuyu na kyela walijizolea fedha nyingi kipindi kile wao wakisema nchi imevaa isanja - nchi ikiwa uchi lakini inachukua jani bichi la mgomba na kuvaa kujisetili kipindi cha mchonga/mzee ruhsa. sabuni za geisha, sukari, colgate, chupi nk bidha ambazo zilikuwa hakuna huku. Wengi in return wali perish kwa HIV/AIDs - waliosalia walisonga mbele. No wonder nchi hii mtu akiendelea kauza unga au ni freemason!!!!!!!