Mmiliki wa Richmond Company, Mohamed Gire hajatoa rushwa

Kamundu

Platinum Member
Nov 22, 2006
6,609
8,749
Kitu kimoja ambacho Watanzania wengi hawajui ni kwamba Mohamed Gire hajatoa rushwa na kama angetoa rushwa yeyote angekuwa jela sasa huku Marekani. Marekani wanafuatailia pesa sana inavyozunguka kwenye bank na rushwa ni kosa kubwa sana hasa kwa wewekezaji na wawekezaji wanajua hilo. Kwenye balozi kuna maafisa wanaofanya kazi na bank na kuna mpaka spy kwenye balozi za kimarekani.

Hii case wameshachunguza vizuri na mmiliki wa Richmondo Mohamed Gire hajatoa rushwa. Gire vilevile ana tenda kwenye City ya Houston, TX ya kusambaza matangazo mbalimbali kwa kutumia kampuni yake ya Richmond Printing. Kilichotokea Tanzania ni kwamba Gire alihakikishiwa kazi na Rostam lakini Rostam hakutaka kutoa pesa yeye alipanga kufaidika na kutoa pesa ya uendeshaji siyo ya vifaa.

Gire hakuweza kupata hizo pesa za vifaa popote hata CRDB na kufanya watu waanze kuchunguza kampuni. Lowassa amekuja kwenye picha kwasababu Rostam alikuwa na uhusiano wa karibu lakini pesa Gire alikuwa bado hajapata na yeye binafsi hakutoa hongo. Vilevile Sitta na Sumay walikutana na Gire kabla ya Lowassa wakati Sumay alivyokuja Houston kumuangalia mtoto wake miaka ya mwanzo ya 2000's alikuja na Sitta wakati huo alikiwa kiongozi wa Tanzania Investment Center.

Gire aliomba kukutana na Sitta na Sumaye hivyo ni kitu cha ajabu Sitta akijifanya kama vile hafahamu mmiliki wa Richmond wakati sisi tulikuwepo wakati wakikutana baada ya mkutano wa jumuia.

Hivyo hii issue kuna mengi ya siri kwa Sumaye na Sitta walikutana na Gire kabla hata Lowassa hajawa waziri mkuu..
 
Fisadi mkubwa wewe!!!!!! Wananchi tunapata taabu ya umeme kisa yeye kuiingiza nchi gizani kwa faida zake then unakuja na humu kuongea utumbo kumtetea? Richmond ni ya Lowassa hata umtetee vp hachomoki mwizi huyo.

Na subiri Magufuli aapishwe mafisadi woooote mtanyooooka tuuu...
 
Kunaweza kukuawa na upendeleo kwenye tender na makubaliano mengine ya baadae lakini Gire kutoa pesa kwenye account yake na kumpa mtu mwingine hiyo ni uongo hata kama angetoa pesa nyingi kwenye bank bila maelezo angeshitukiwa na angekuwa jela sasa kuna Speaker wa Zamani wa Marekani ana kesi ya kutoa Dollar milioni tatu kwenye account na siyo hata ya rushwa!!. Inawezakana kulikuwa na plan lakini na uhakika pesa hapa US haijatoka!
 
Fisadi mkubwa wewe!!!!!! Wananchi tunapata taabu ya umeme kisa yeye kuiingiza nchi gizani kwa faida zake then unakuja na humu kuongea utumbo kumtetea? Richmond ni ya Lowassa hata umtetee vp hachomoki mwizi huyo.

Na subiri Magufuli aapishwe mafisadi woooote mtanyooooka tuuu...

Acha ukuda, kwani Lowassa ndiye aliyekausha mabwawa!
 
Fisadi mkubwa wewe!!!!!! Wananchi tunapata taabu ya umeme kisa yeye kuiingiza nchi gizani kwa faida zake then unakuja na humu kuongea utumbo kumtetea? Richmond ni ya Lowassa hata umtetee vp hachomoki mwizi huyo.

Na subiri Magufuli aapishwe mafisadi woooote mtanyooooka tuuu...

mbona unaongea kwa mhemko kama vile umepakatwa??unasubiri nini kwenda mahakamani maana yaonesha ushahidi unao..wahi mapema mana ikishavuka oct.it will be too late my sister...
 
Hizi mada kuanza kurudi humu JF kuna watu UKAWA na CCM itabidi watembee na mobile toilet maana kila dakika watajisikia kwenda kuhara .....watu wamesitiriana muda mrefu lakini dakika tunayokwenda ni ya "liwalo na liwe " ......mnafikiri atayeumia ni nani?
 
Kitu kimoja ambacho Watanzania wengi hawajui ni kwamba Mohamed Gire hajatoa rushwa na kama angetoa rushwa yeyote angekuwa jela sasa huku Marekani. Marekani wanafuatailia pesa sana inavyozunguka kwenye bank na rushwa ni kosa kubwa sana hasa kwa wewekezaji na wawekezaji wanajua hilo. Kwenye balozi kuna maafisa wanaofanya kazi na bank na kuna mpaka spy kwenye balozi za kimarekani.

Hii case wameshachunguza vizuri na mmiliki wa Richmondo Mohamed Gire hajatoa rushwa. Gire vilevile ana tenda kwenye City ya Houston, TX ya kusambaza matangazo mbalimbali kwa kutumia kampuni yake ya Richmond Printing. Kilichotokea Tanzania ni kwamba Gire alihakikishiwa kazi na Rostam lakini Rostam hakutaka kutoa pesa yeye alipanga kufaidika na kutoa pesa ya uendeshaji siyo ya vifaa.

Gire hakuweza kupata hizo pesa za vifaa popote hata CRDB na kufanya watu waanze kuchunguza kampuni. Lowassa amekuja kwenye picha kwasababu Rostam alikuwa na uhusiano wa karibu lakini pesa Gire alikuwa bado hajapata na yeye binafsi hakutoa hongo. Vilevile Sitta na Sumay walikutana na Gire kabla ya Lowassa wakati Sumay alivyokuja Houston kumuangalia mtoto wake miaka ya mwanzo ya 2000's alikuja na Sitta wakati huo alikiwa kiongozi wa Tanzania Investment Center.

Gire aliomba kukutana na Sitta na Sumaye hivyo ni kitu cha ajabu Sitta akijifanya kama vile hafahamu mmiliki wa Richmond wakati sisi tulikuwepo wakati wakikutana baada ya mkutano wa jumuia.

Hivyo hii issue kuna mengi ya siri kwa Sumaye na Sitta walikutana na Gire kabla hata Lowassa hajawa waziri mkuu..

" Gire aliomba kukutana na Sitta na Sumaye hivyo ni kitu cha ajabu Sitta akijifanya kama vile hafahamu mmiliki wa Richmond wakati sisi tulikuwepo wakati wakikutana baada ya mkutano wa jumuia. "

Safi sana; mtatajana sana mwaka huu.

Kwa hiyo Sumaye naye ndani ya net!
Sumaye na Lowassa ndo wanauwinda urais kupitia Ukawa kwa udi na uvumba sio?

Tena Sumaye ndo anakuja ukawa kuwafundisha jinsi ya kuendesha serikali...

Tajaneni tu.
 
mi naona iko hivi deal za kuzalisha umeme lilipotokea Roastam akawa kalipata kutoka kwa rafiki yake lowasa....
roastam akamuapproch mohamed gile ambaye ndo mmiliki wa RICHMOND PRINTING ,ili a act kama front man,,,,lowasa yeye jukumu lake ikiwa kuhakikisha Richmond wanapewa tenda hiyo....
inawezekana kabisa roastamu ndiye aliyeinunua ile mitambo,na walipoileta kabla hawajaanza uzalishaji ikawa imetibuka kuwa kumbe Richmond ni kikampuni kisichohusika hata na umeme,wakati kelele zimekuwa nyingi ndipo wakaamua kuuza mitambo kwa DOWANS....

Hata kama hakuna pesa ilitolewa kama rushwa hapa si kazi kuassume kuwa lowasa alikua na manufaa fulani katika ishu ya richmond,ama alitegemea kickback kama deal lingekubali,ama alikuwa anamfavour rafiki yake roastam,ama nayeye alikuwa kainvest katika hiyo mitambo
 
Mohamed Gire
Chief Executive Officer
0„2
Mohamed Gire foundedRichmondPrinting in 1985. Mohamed¡¯s unique blend of marketing, operations management and business expertise has ledRichmondPrinting from a small, family owned business to one of Houston¡¯s top design presses.
Mohamed overlooks Richmond's strategic client relations, operational excellence and efficiency in company's supply chain, manufacturing, quality assurance, customer service and finance.
A prominent businessman and an active private investor, Mohamed is actively involved with civic, social and political organizations. He serves on the Mayor¡¯s Advisory Board for International Affairs and Development (MABIAD- Africa), and is also one of the founding charter member of The Indus Entrepreneurs (TIE), a global, not-for-profit organization dedicated to the advancement of entrepreneurship
 
Fisadi mkubwa wewe!!!!!! Wananchi tunapata taabu ya umeme kisa yeye kuiingiza nchi gizani kwa faida zake then unakuja na humu kuongea utumbo kumtetea? Richmond ni ya Lowassa hata umtetee vp hachomoki mwizi huyo.

Na subiri Magufuli aapishwe mafisadi woooote mtanyooooka tuuu...
Usiweke matumaini kwa Magufuli kuwa atapambana na ufisadi. Hiyo mahakama ndo usahau kabisa
 
ufisadi upo na utaendelea kuwepo,kwani naturaly mwanadamu ana self interest zake,scandal zinaweza kupungua lakini hata aje nani hawezi kufuta ufisadi.....
 
Fisadi mkubwa wewe!!!!!! Wananchi tunapata taabu ya umeme kisa yeye kuiingiza nchi gizani kwa faida zake then unakuja na humu kuongea utumbo kumtetea? Richmond ni ya Lowassa hata umtetee vp hachomoki mwizi huyo.

Na subiri Magufuli aapishwe mafisadi woooote mtanyooooka tuuu...

Hujui lolote wewe mbulula kaa kimya,el hausiki richimond hata punje,viva LOWASSA viva UKAWA
 
Haya yote ni sababu ya mfumo mbovu.Ndo maana Tunataka mabadiliko ya mfumo.Yote haya yamesababishwa na serikali ya CCM.Kwa kuihadhibu tutatumia watu wale wale iliyowalea na kuwafundisha ufisadi ili iwe fundisho.Kiboko tumemkabidhi Lowassa.Kamata fimbo Lowassa uiondoe CCM tutaanza upya .Kwa mfumo huu Kila Mtu ni fisadi kwa nafasi aliyopo. Hata Magufuli si msafi Jamani.Tuanze tu upya.
 
Back
Top Bottom