Mkuu kwa Mrema umenifurahishaUsiwe mwepesi wa kufanya hitimisho. Hiyo ndio hali halisi. Jamaa hashikiki, hata polisi wa tarime na Rorya wanamtambua, ni untouchable. Ameshaumiza wengi, hata mie nina kaka zangu ambao wamewahi kuumizwa naye. Hakamatiki yule jamaa. Mtu pekee aliyewahi kumtikisa huyu jamaa ni Mrema miaka ya tisini, lakini baada ya hapo wote wanamlamba miguu
Mkuu lile gaidi utalipiga vipi picha?Wekeni picha yake hapa tumfahamu.
Mkuu lile gaidi utalipiga vipi picha?
Hujui hata kiswahili rafikistori hii si ya kweli, Polis hawawezi kusema wamemshindwa mtu, huuu ni uongo na kuaribiana sifa, husimchafue zakaria na husichafue polis
Ila jamani picha yako inaniacha hoi kwa kweliHujui hata kiswahili rafiki
Umejuaje ni picha yake halisi mkuu, labda MissM4C atuthibitishie hapaIla jamani picha yako inaniacha hoi kwa kweli
Hata mimi nina shaka mkuu, hapo kuna kitu hakijakaa sawa, ila kama ipo ivyo haki ya mnyonge haipotei na malipo yake ni hapahapa duniani.Nahisi kuna kitu hutaki kuweka wazi ebu funguka nimuagize mtu urudishiwe mzigo wako
Haya.mie nina.mawazo hayo hayo. Kuna jambo ambalo mtoa.mada analificha ndio maana anazungumzia kuomba kusaidiwa. Kuna jambo zaidi ya hilo.Haiwezekani aje tu bila sababu achukue mzigo wako yeye ni kichaa? Hebu tueleze una ugomvi gani nae? Anakudai?
police kama wamesema hawamuwezi ujue ushapewa go ahead kabla hajakumaliza mmalize yeye
over
Kwa kweli aje tuUmejuaje ni picha yake halisi mkuu, labda MissM4C atuthibitishie hapa
Mkuu, ebu wataje na hao wengine wanne walobakiazakaria ni moja ya majambazi matano yanayotesa kanda ya ziwa,na inasemekana limeinunua serikali yote ya maeneo hayo ya kanda ya ziwa,anaheshimiwa kuliko hata mungu yule
huna hoja,kajifunze hojaHujui hata kiswahili rafiki