Traffic atakayesimamisha hizo gari huwa anafuatiliwa sana, madereva hawapati shida sana hata gari ikiwa na kosa wakikamatwa wao ni kumjuza bosi wao haraka......na bosi ana respond immediate baada ya mda mfupi huachiwa safari ieñdelee...nasikia huyo jamaa alikuwa jambazi aliyeshindikana kipindi cha nyuma kwahiyo kila mtu anamfahamu vizuri tu huyo. Pole sana mtoa mada, akusamehe akurudishie kamzigo kako