Alikua kwenye mkakati wa kumsepesha twiga au niaje..?
Na pia mauaji ya Msuya afadhali tunaona watuhumiwa wanapindishwa kizimbani ikiashiria kuwa awamu Ile ilikuwa inafanyakazi..........lkn toka mwanzo wa awamu hii vifo vimeongezeka maradufu na bila kuona hata mmoja alievishwa utuhumiwa japo wa kisingiziwa kupandishwa kizimbani,hii ndo pale tunapoihusisha awamu hii na ongezeko la vifo vitokeavyo na ndo pia tunashaur waziri wa ulinzi awajibike na sio kuwajibika kwa kuvaa skafu tuu Na kupanga kuwadhibiti mahasimu wao kisiasa na kimaslahiMauaji ya msuya yana zaidi ya miaka 4...ila awamu hii kuna mauaji mengi ya ajabuajabu mara maiti kwenye viroba,kupigwa risasi tl halafu police mpka leo hawana jibu la hayo matukio
Kila jambo lina mwisho mauaji,visasi,matisho,matamko bdo uchumi unayumba tu...hii awamu ya wazee wa phd,maprof ambao wamejitoa akili kumtumikia bwana mkubwaNa pia mauaji ya Msuya afadhali tunaona watuhumiwa wanapindishwa kizimbani ikiashiria kuwa awamu Ile ilikuwa inafanyakazi..........lkn toka mwanzo wa awamu hii vifo vimeongezeka maradufu na bila kuona hata mmoja alievishwa utuhumiwa japo wa kisingiziwa kupandishwa kizimbani,hii ndo pale tunapoihusisha awamu hii na ongezeko la vifo vitokeavyo na ndo pia tunashaur waziri wa ulinzi awajibike na sio kuwajibika kwa kuvaa skafu tuu Na kupanga kuwadhibiti mahasimu wao kisiasa na kimaslahi
...............Nchi ni yetu sote
Kwenye hii nchi security conscious ya kwanza ni ya kwako wewe binafsi , inakuwa ngumu kufanya makandokando kisha ukategemea utakuwa salama kwa kutegemea Polisi peke yake!Mwigulu kazi imemshinda
Hawajakuta mwili hivyo huwezi kusema amekufa ila tunasema haonekani au he is missing but not dead hata Ben Saa 8 au yule mwandishi wa Mwananchi huwezi sema wamekufa ila tunasema wametoweka au hawaonekani So they are still missing. Miili ikionekana ndio hapo huwa tunasema wamekufa au wameuawa au wamefariki au wameaga dunia. Ni hayo tu mkuuduh masikin kafa kifo kigumu!
Alikutwa akiwa ameunguzwa ndani ya gari au mwili umekutwa pembezoni mwa gari?
Mtu akichomwa basi ni lazima utakuta walau mifuapa, wafanya majaribio wa kuuchoma hata mzoga wa ng'ombe ndani ya gari bovu tuone kama hakuna mabaki ya aina yoyote yatakayopatikana, huyu atakuwa katekwa, si bure! Nna je walicheki chasis/engine namba kujua kwamba gari ni lake? Au wamejuaje?"Gari lake limeteketea kweli lakini hatujabaini mwili kama na yeye alikuwa kwenye gari lile kwa sababu waliofika eneo la tukio hawajakuta mwili au mabaki ya mwili ya aina yeyote ...Kamati ilipopata taarifa kuwa kuna gari limeteketea kule Serengeti, walishirikiana na Jeshi la Polisi kwenda hadi eneo la tukio na kubaini kweli ni gari lake lakini hawajabaini kama alikuwepo mle wakati linachomwa", alisema Mwalongo.
Nimegonga likewe bila shika hujawah kufaulu mitihanj! ni wapi hapo kwenye post wamesema gari limechomwa kwenye hifadhi? au unafikiri mtu akisema Serengeti basi eneo lote la wilaya ni mbuga?
hbari ilikua haijawa updated mkuu!....Unauliza hili swali as if hujasoma huu uzi, sasa hapa unafanya nini?