Miaka ya 80 Mbeya ilikuwa kwenye miaka ya 50. Leo hii dunia inaongelea mwaka wa 2017 lakini kwa Mbeya wako 1970. Kule ni dunia nyingine, Wanapashwa kuwa na kalenda yao tofauti na dunia nyingine.
Jina lako na maneno yako vinafanana mkuu. Naona unasura ngumu sana isiyo na haya. Hata hivyo watu wa Mbeya ndivo mlivyo. Waongo na wabishi kuliko kawaida.
Miaka ya 80 Mbeya ilikuwa kwenye miaka ya 50. Leo hii dunia inaongelea mwaka wa 2017 lakini kwa Mbeya wako 1970. Kule ni dunia nyingine, Wanapashwa kuwa na kalenda yao tofauti na dunia nyingine.
Chris Lukosi ni Mhehe, na Wahehe na Wanyakyusa ni watani, so alikuwa akifanya utani wa jadi.
Mbeya kuna swimming pools nyingi tu, mifano Utengule, Tembo resort etc
Chris Lukosi ni Mhehe, na Wahehe na Wanyakyusa ni watani, so alikuwa akifanya utani wa jadi.
Mbeya kuna swimming pools nyingi tu, mifano Utengule, Tembo resort etc