Zamni watu waliheshim sana maiti na kuiogopa Eti watu mara hii mtu/watu wakipata ajari na kufa hatua ya kwanza ni searching mpka maiti wnakwiba mpka hata wanadiliki kukata vidole kama vimevaa Gold iliyogandana Jamni Utanzania gni huu,uhuru na amni imeenda wapi?